pole dada jamani kama hauna chakusha uri kaakimya nunua tende nusu kilo nunua maziwa lita 2 ikibidi asali robo mwambie afanye mazozi ya kukimbia nakupa wiki kama bado ni cheki 0773 251153 nitamsaidia
misioni 7bu yakuleta utani wkt mwenze kapata hasara ndivyo hata wewe utakosea siku moja mimi mnaniudhi c kwakua huyo dada namfahamu laa ila kumdhihaki ndio sipendi
Huo ni uhaba wa elim kuhusu mke au mume hawatafutwi hv wenye tabia hiyo wote tubieni kwanza fahamu kua ulipo kua tomboni mwa mama yako mungu alijua utakua na mumeo au mkeo alishampanga atakapo kujia ukamkataa kwakua masikini au hana digree ujue ndio aliempanga mungu awe wako hao wengine mungu...
Hakuna kifungo wala adhabu duniani hivyo vipo mbinguni baada ya kufeli duniania hapa ss duniani tuna Kambi ya matesotu hats mm naunga mkono aende kambiya màteso muuaji mkubwa huyo.
Kwamujibu wa uislam au ukristo unaposema wewe ni muumini wa serikali 2 au 3 nilazima uvue ile imani ya dini uliokuanayo kabla ndio uingie imani nyingine kama ni muislam utakua umeritatadi je walivyorudi wamerudisha dinize2.ndiomaana Rais aliteuwa makundi ya dini. Unaposema dini ninjia aliotaka...
Kwamujibu wa uislam au ukristo unaposema wewe ni muumini wa serikali 2 au 3 nilazima uvue ile imani ya dini uliokuanayo kabla ndio uingie imani nyingine kama ni muislam utakua umeritatadi je walivyorudi wamerudisha dinize2.
Mbona mnapo ulizwa wale wavaa hijabu manesy wakatholic maarufu kama sister hamuoni kama wana wadhulumu? Mbona hili hamjibu? Ila mnaleta kashfa ama kweli ukristo c dini maana dini haifunzi dharau zidi ya mwingine bali kumuelimisha ili akufate aongoke utanithibitishiaje kama hiyo nidini ya kashfa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.