Mdau siwe na wasiwasi, acha hao CCm wapige kelele watanzania wa sasa hivi sio wajinga wana akili timamu. Hao wanaosema Slaa ni mdini hebu muangalie hiyo orodha hapo halafu think before you say anything! Big up mdau kwa data.
Hapo umenena, muhimu hapa ni kupiga kura. Nec imesema watabandika majina siku nane kabla ya siku ya Uchaguzi ili tuaangalie majina yetu kama yamo. Mdau hapa amesema kuwa kuna website ambayo ina majina ya wapiga Kura, Is tru? If it is basi atupe hiyo link. Nafikiri umefika wakati Watanzania...
"""This is the time to make good use of our natural resources; we must closely scrutinize the export our minerals to make sure the exports returns home in the form of foreign currency. We must massively advertize, and modernize our infrastructure to improve our tourism sector, expand and make...
Hiii ndio nilikuwa nasema muda tunaoutumia kuandika humu tuutumie hiyo hivyo katika kupiga kura, Na hiyo ndo itakayoweza kuwatoa hawa ambao wameifanya nchi hii kuwa yao. Hakuna short cut! Piga kura muondoe yule usiyemtaka.
Kuna viongozi ambao kwa kweli kwa kuwaangalia angalau unaona wanaweza kuibadilisha nchi kama tu watakuwa na ujasiri wa kujitoa kwenye CCM, Kama alivyosema Rais Nyerere, Upinzani Halisi utatoka humo humo kwenye Chama Tawala. Mtu kama Magufuli (to me he is my favourite among all Tanzanian...
Ni muda mrefu tumekuwa tukichangia humu kwa point nzuri sana, kwa uchungu mkubwa sana dhidi ya mambo yanavyoendeshwa katika nchi hii. Ni wakati umefika kuonyesha commitment yetu katika nchi yetu hii nzuri iliyoharibiwa na viongozi wapenda rushwa na wasiojali maisha ya wananchi wao. Mimi, wewe...
Kama Mheshimiwa Raid anasoma hii forum au angalau kama kuna watu wake wanaingia humu tunaomba ajibu hivyo vipengele 6, mambo yaliyotajwa hapo juu yakidhibitiwa hao wafanyakazi wanaweza kabisa kupata kiwango cha mshahari wanachoomba, bila ubishi kabisa.
[SIZE=3]Ulitishia kuwa kama mfanyakazi amechoshwa na maslahi duni aondoke serikalini!!! Pity! Yaani unafikiri hiyo flooded labour market inaweza fidia experienced workers in various institutions!!!! May be in the long run! Find a polite language to address serious issues, my dear...
Jamani sisi tunaotumia mtandao wa Africaonline kwa ajili ya matumizi ya internet tumeonja joto ya jiwe toka jumamosi mpaka leo hii ninapoandika hii bado hatuna internet. Network hakuna toka jumamosi mpaka leo hii jumatatu. Tumejaribu kuwapigia simu mara kwa mara lakini tumekuwa tukijibiwa kuwa...
Bwana Tumaini! Kuhusu Rostam usiseme kabisa, acha kama hivyo hivyo ilivyo, I guess he is above the law. Yule ndio CCM kama ulikuwa hujui, yaani inatapisha, sometimes I ask myself what is wrong with these Government leaders; yaani ni kama wanaongea vitu bila kufikiria the consequences baadaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.