Search results

  1. U

    Wafuatao wanampinga Lowassa ndani ya CCM kuwa mgombea urais 2015

    Hii nimeiona mahali je itafanya kazi kweli? Kipi cha ajabu, Kikwete na Lowassa walikuwa marafiki, sasa ni historia, vivyo hivyo video hizi ni historia iliyopitwa na wakati! Bila kifo cha CCM, Ukombozi wa pili wa nchi hii, hauwezi kupatikana. Yeyote mwenye uwezo wa kusababisha kifo cha CCM...
  2. U

    Wafuatao wanampinga Lowassa ndani ya CCM kuwa mgombea urais 2015

    Vipi watanzania wanampenda kweli au ushawishi wa fedha
  3. U

    Lowassa, Membe kutupwa nje, Makongoro kumrithi Kikwete

    Makongoro alishahama CCM na akiwa mbunge huko Arusha kupitia upinzani alionyesha vituko kutokana na ulevi.
  4. U

    Lowassa kukaangwa kama Yesu!

    Hatma ya CCM ni uwamuzi wao katika uteuzi wa mgombea urais anayekubalika wakikosea tu UKAWA wanachukua nchi kilaini na hakika mbinu za kuchakachua zitashindwa.Jeuri yao kuwa yeyote watakayemuweka atakubalika si sasa ni Enzi za mwl nyerere pekee
  5. U

    Lowassa kukaangwa kama Yesu!

    Hatma ya CCM ni uwamuzi wao katika uteuzi wa mgombea urais wakikosea tu UKAWA wanachukua nchi kilaini na hakika mbinu za kuchakachua zitashindwa.Jeuri yao kuwa yote wakamuwea atakubalika si sasa ni Enzi za mwl nyerere pekee
  6. U

    Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere kuwa Chuo cha Mfano?

    Ni tetesi tuu ila kama ni kweli wenye kujua ukweli watatujuza.
  7. U

    Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere kuwa Chuo cha Mfano?

    Chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere kuwa Chuo cha Mfano kama ni kweli kuwa Serikali imefanya kweli kwa kuuweka Uongozi mpya ambao ni wasomi na weledi. Sisi wanafunzi tunaorudi Chuoni hivi karibuni tunafarijika kwa kuwa tulinyanyasika sana huko nyuma. Mabadiliko haya ni matokeo ya malalamiko...
  8. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Tatizo sio chama Mkuu, tatizo ni vijifisadi vilivyojificha kwa jina la chama.
  9. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Kweli Mkuu sisi tunasoma hapo hatujui kama tutapata kazi maana elimu inayotolewa ni ya kimagumashi. Kuna vijifisadi vimejificha pale wanaona wameiweka serikali mfukoni.
  10. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Piga ramli tuu lakini siku za mafisadi wa fedha za wafanyakazi hewa zinahesabika katika Chuo cha mwalimu Nyerere.
  11. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Amekula sana fedha za wafanyakazi hewa kwa muda mrefu na sasa imegundulika sijui atajificha wapi fisadi huyu mkubwa.
  12. U

    Ushauri wa kisheria kutokana na kuonewa na Uongozi wa Chuo cha Mwl Nyerere-Kigamboni.

    Kaibu tutarudi Chuoni kwenye majaribu ya rushwa ya ngono katika elimu, serikali isikie kilio chetu wanafunzi wa chuo hiki.
  13. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Vitoko vinaendelea Chuoni hapo. Baada ya Serikali kuamua kulipa mishahara moja kwa moja kwenye akaunti za wafanyakazi wamegundulika wafanyakazi hewa zaidi ya elfu 14 na chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ni moja ya sehemu iliyokutwa na wafanyakazi hewa. Ajabu iliyoje wafanyakazi walioacha...
  14. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Tawi la Chuo cha Kumbuku ya Mwalimu Nyerere, Zanzibar sasa kina Mkuu mpya mahiri baada ya Kigodoro cha Magotti kuondolewa kwa aibu. Kiongozi mahiri kwa tawi la DSM yuko njiani na hivyo mafisadi wote wa elimu chuoni hapo wanakiwa kujiondoa wenyewe kabla ya ufagio wa chuma kuwafikia.
  15. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Nasikia serikali inazidi kuwabana mafisai katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, naamini si muda mrefu chuo kitarudia hadhi yake ya zamani. Ufagio wa chuma utakapowapitia wahusika waliowasafi watabaki kukiendeleza chuo hicho.
  16. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Eti kile kigodoro cha Dr. Magotti cha Zanzibar bado kipo. yule Mwl wetu kilaza wa 2.8 G.P.A. yupo, muomba rushwa ya ngono kwa wanafunzi wa kike yupo, wale wadada wapenda waume za watu wapo, wachakachua matokeo ya wanafunzi wapo na yule mtaalamu wa kurudisha miaka nyuma yupo, wale wanaume wambea...
  17. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Kweli kabisa anatakiwa awe jela kwa ubadhirifu na ufisadi aliofanya chuoni hapo.
  18. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Siku zenu za kuichezea serikali zinahesabika pamoja na mabwana zenu.
  19. U

    Dk. John Magoti na mr. Lwambano mchunguzwe,mmekiua chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere

    Naona umeadhiriwa na lile gonjwa linalowasumbua hapo chuoni hadi vifo vimeongezeka, nakushauri kapime ili ujielewe. Umesahau kuwa hicho ni chuo cha umma umelewa na wenzako hadi umejisahau.
Back
Top Bottom