Hatimaye yametimia, James Tupatupa, Mtangazaji wa Clouds TV aliahidi kuwa atachinja Ng'ombe endapo Asernal itatolewa, yeye aliamini Arsenal itafuzu katika hatua, hilo zoezi la kuchinja Ng'ombe linatakiwa liwe Mbashara...
Siyo kupungua, kilichopo ni kukosekana kwa taarifa ya matukio yenyewe, hata hili tukio bila kupata taarifa hapa tusingejua, maeneo ninayoishi kuna pori ambalo miili ya Watu wasiojulikana huokotwa mara nyingi tu..
Kwa kuwa kuna barabara kuu ya kwenda Nchi za kusini mwa Afrika Watu huisi huenda...
Siyo kupungua, kilichopo ni kukosekana kwa taarifa ya matukio yenyewe, hata hili tukio bila kupata taarifa hapa tusingejua, maeneo ninayoishi kuna pori ambalo miili ya Watu wasiojulikana huokotwa mara nyingi tu..
Kwa kuwa kuna barabara kuu ya kwenda Nchi za kusini mwa Afrika Watu huisi huenda...
Kama ulinielewa kwenye hoja yangu nilikwambia kuwa si maeneo yote hatarishi yalikuwa hivyo tangu awali, hatari nyingine husababishwa na mabadiliko ya tabia ya Nchi, hali ya hewa na shughuli za kibinadamu, hata hilo Bonde la Msimbazi awali halikuwa hatari kama ilivyo sasa.
Ukiangalia hilo Bonde...
Hivi huyo Raia anayejenga bondeni haoni kuwa ni bonde? Mara ngapi Serikali inawataka Wananchi wahame maeneo hayo hatarishi lakini bado Watu wanarudi? Wengine wamepewa hadi viwanja maeneo salama lakini bado hawaendi huko.
Elimu inatolewa na Mamlaka ya hali ya hewa mara kwa mara hutoa taarifa...
Kipi ambacho siyo kweli kwenye maelezo yangu? Unachotakiwa kuelewa si maeneo yote hatarishi yalikuwa hivyo tangu awali, Kuna baadhi ya maeneo yalikuwa salama lakini kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa na mazingira maeneo hubadilika na kuwa hatarishi..
Pale Hanang'i Wananchi wameishi enzi na...
Siyo kila kitu ni cha kulaumu Serikali au CCM kama ulivyodai, binafsi nilisikiliza Mahojiano ya Mtangazaji wa Clouds TV na baadhi ya Watu wa maeneo ya Rufiji ambapo kuna Mafuriko, Watu hao wamekiri kuwa Serikali iliwataka wahame maeneo hayo hatarishi siku nyingi za nyuma.
Sambamba na hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.