Ukiangalia mwenendo wa siasa wa nchi yetu kwa sasa, ni dhahiri shairi viongozi wetu wanawaza kushinda uchaguzi tu hakuna lingine. Tangu wamechaguliwa akili na mawazo yao yapo kwenye namna gani watashinda tena uchaguzi.
Hii inadhihirishwa hata namna ya maendeleo wanayotuletea. Ni yale maendeleo...
Toa maoni yako na kile ulicho kishuhudia katika eneo lako kijiji, kitongoji au mtaa unakoishi juu ya mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 kuanzia hatua ya uandikishji katika daftari la wapiga kura mpaka uteuzi wa wagombea.
Katika pita pita zangu za kutafuta ridhiki huwa napita sana chalinze na kufanya biashara kidogo pale na wadau wangu wa eneo lile. hivyo katika muktadha huo Bank ninayoitumia ni NMB tawi la chalinze kwani ndiyo tawi la Bank pekee lililopo eneo lile ingawa pamechangamka kibiashara na uwekezaji...
Ni dhahiri ameshindwa kuliongoza jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Haonekani Bungeni wala jimboni.
Tulimuona alipokuja kuhudhuria msiba Wa mama yake Mzazi tu. Baada ya hapo hatujui alipo.
Sasa huyu ni msemaji wetu, ni Mwakilishi wetu lakini naamini huko aliko sidhani kama anajua shida...
Bwana Bodi heri ya sikukuu ya pasaka, natumai mmekuwa na mapumziko mema ingawa kwa sisi wasaka tonge muda huu tayari tupo kazini tunapambana na hali hii nzuri inayoletwa na uchumi Wa viwanda.
Kwenye kaa yangu hapa kibdandani kwangu, nikawaza wazo hilo linalosomeka kwenye kichwa cha habari...
Hawa watu ni wanasiasa waandamizi katika nchi hii, mmoja alikuwa mbunge Wa bunge LA Tisa na mwingine alikuwa mchambuzi mahili Wa siasa katika awamu ya nne.
Kwa sasa hivi wapo wapi watu hawa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wasalam ndugu wa JF,
Kinachoendelea kwa sasa kwenye kijiji chetu ni sawa na baba mbabe, mlevi na asiyesikiliza watoto zake kuwalazimisha wamuheshimu na kumuita yeye ni baba.
Baba huyu amekuwa katili kwa watoto hawa kiasi yeyote anayethubutu kumuuliza au kumkosoa juu ya hali ya Nyumbani anakula...
Vyama vya siasa vinaongozwa na itikadi ambavyo kwa itikadi hizo vyama hivyo huamini. Wanachama na wapenzi wa vyama hivyo huamini katika hizo itikadi. Ni mara chache sana kuona itikadi ya chama chako kuwa si sahihi.
Ni uchache wa siasa kuhama chama kwa kuwa kuhama chama ni kubadili imani
Wilson Mkama aliyewahi kuhudumu kama Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi ccm kwa kipindi fulani huku akikumbukwa sana katika uchaguzi wa marudio kule Igunga Tabora baada ya kuachia ngazi aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Ndugu Rostam Azizi. Atakumbukwa zaidi kipindi cha tambo za watu wa Lumumba...
Mheshimiwa mwenyekiti Wangu utakubaliana nami kuwa chama chetu taratibu kimeanza kupoteza mvuto wake wa asili uliokuwepo hapo awali. Wajinga wengi wanadhani labda ni kutokana na kile wanachokiita ni utendaji wa kiwango cha juu cha mheshimiwa sana pale white house.
Lakini sisi tunaojua fikra na...
Wasalam
Kwa siku za karibuni siasa yetu imeingia katika utaratibu mpya wa hama hama ya wanachama na watu mashuhuri kutoka chama kimoja na kwenda chama kingine.
Naona utaratibu huu umeshika kasi, kiasi tunaanza kusahau jukumu lililo mbele yetu la ujenzi wa uchumi wa viwanda.
Tunatumia muda...
Wanajamvi salamu,
Binafsi naona toka kuchaguliwa kwa huyu katibu mashinji, chadema inaporomoka kwa kasi ya kimbunga kwenda chini. Chadema kama inakosa mwelekeo.
Imefika wakati sasa kila mtu amekuwa msemaji ndani ya chama. Hakuna tena separation of power kama ilivyokuwa kipindi cha doctor. Now...
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda katika taifa letu tutegemee CCM itageuka kuwa CHADEMA kwa kuwa watetezi wa wanyonge kama walivyofanya CHADEMA miaka miwili au mitatu nyuma kisha CHADEMA itakuwa CCM kwa kukataa kutekeleza mambo ambayo ni zahiri ni tunu kwa taifa hili.
Pia tutegemee kubadilishana...
Jimboni kwake tuna shida nyingi, tena siyo shida za kukalia kimya. Tunapatwa na mshangazo kuona mbunge wetu kuwa kimya. Ukimya huu labda ungefanywa na mbunge ambaye jimbo lake walau limejiyosheleza.
Wakati wabunge wa wenzetu wakipigania nafasi ya kueleza shida za majimbo yao, sisi wa kwetu si...
Hivi hata tukiamua kufanya uchaguzi wa kijiji hiyo 2020 huyu mwenyekiti wetu atakubali kutoka madarakani kama atashindwa?
Kwa hali ninavyoiona sijui kama atakubali ukizingatia kwamba kila mtu anamuogopa hata baraza la wazee wanaosimamia upigaji wa kura.
Mimi nadhani tusipoteze pesa za...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mh. Shein amerejea nchini leo akitokea nchini Djibouti alipokuwa na ziara ya kikazi nchini humo.
Pia alipowasili uwanja wa ndege wa Zanzibar aliweza kujibu maswali ya waandishi wa habari ikiwemo suala la mafuriko linaloikabili nchi hiyo kwa...
Inawezekana viongozi mliopo hamfahamu, nataka tu kuwakumbusha kuwa, moja ya sababu uliyompelekea umwagaji damu kwa baadhi ya mataifa ya Africa wakati wa harakati za kusaka uhuru ni kukomeshwa kwa vyama vya siasa vilivyoundwa na waafrika weusi. Pia kupiga marufuku harakati zozote za kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.