Mkuu Maggid, heshima kwako!
Japo sitojaribu kuwaeleza hawa wazee wa Dar es Salaam ni watu gani nani-wa aina gani, ntasema kidogo yanayohusiana na maongezi yao na bwana mkubwa. Binafsi nafikiri hii kasumba imepitwa na wakati na vile vile viongozi wetu wamepitwa na wakati.
Kwa kifupi hawana...
Lakini wewe si ni ccm? sasa wachunguzwe ili iweje? na unayetaka achunguzwe si ni makamu mwenyekiti wa chama! manake yake nini? Na waliokwisha kuchunguzwa wako wapi?
Kuna ubovu katika chama na uongozi mzima na ili hamtaki kulibali endeleeni hivyo hivyo mpaka mtakapoambiwa nchi imeuzwa na...
Mkuu Mwana wa Daudi
Nafikiri ulisoma kwenye gazeti la Raia Mwema ilikuwa ni Makala ya Chesi Mpilipili, labda kama makala inayofanana iliandikiwa kwenye Rai pia
Huu ni upuuzi na ujinga wa kupitiliza, hizi sherehe za miaka 50 ya uhuru kwanini tuongelee mafanikio? Ingekuwa jambo la busara kuongelea changamoto na wapi tumeshindwa na tufanyeje kwa miaka 20-50 ijayo. Hii tabia ya kutaka kusifiwa niya kijinga naniya viongozi wasiopenda kuwajibika. Kama...
Mkuu Edson
Mbona iyo link ulotoa inaitaji password? Baada ya kudownload vlc na kukocopy and paste link yako inataka password na user name! any suluhisho?
Aya ni mateso makubwa kwa dada na watoto zetu, ukikuta pahala wanakeketa tafadhali wachukulie hatua manake ni wauaji. Baada ya kuona hizi picha ni hasira tu ndo zimenishika, nilikuwa nasikia juu juu ili jambo, lakini baada ya kuona sitamani hata kuwasikia hao wanao keketa.
Unapotosha ndugu yangu sote tumeangalia, kilichofuatia baada ya mda wake kuisha ni Mh Lukuvi kumpa Mh Mbowe taarifa, kwamba kamati ya bunge na nishati sio cha ccm niya bunge na pia Lukuvi katoa ufafanuzi kuhusu legitimacy ya serikali. Ukweli ukuweke huru ndugu yangu.
Du, kumbe una ishu nyingi! Ni vizuri ukawaona watalaamu kuliko ivyo unavyotaka kufanya! Iyo short cut itakugharimu zaidi, hapo ni kama kulazimisha nokia 3310 iwe na bluetooth. Ni vizuri uwe na uhakika una processor yenye nguvu kiasi gani.
Hapo naona mna kila sababu ya kufanya mgomo manake hoja zenu hazisikilizwi kinachofanyika ni kusogeza mbele matatizo badala ya kuyatafutia suluhisho la kudumu.
Hii ni staili ya uongozi wetu, hatutafuti suluhisho la mda mrefu na badala yake tunapenda kutumia ujanja wa mjini hata kwenye mambo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.