Search results

  1. chongchung

    Nyerere na Tanzania vinaenziwa Marekani kwa namna ya kipekee

    Kiswahili ni Tanzania kama ilivyo Ujamaa, Tanzania inajivunia Nyerere daima kwa kufanya Tanzania kuwa na influence kubwa ulimwenguni Tafiti zinaonekana kwamba Tanzania ndio taifa lenye ushawishi mkubwa wa kitamaduni duniani kutokea Africa Tanzania to the world 🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩 Hope this is the next...
  2. chongchung

    Rais Samia kakopa trillion 1 kujenga airport, Hospitali, VETA na Depo ya mafuta Zanzibar

    Hizi pesa zimekopwa na Tanganyika na Tanganyika ndio italipa Trillion 1 inaenda kujenga airport Pemba Ikumbukwe pia katika ule mkopo wa covid, amechukua billion 400 na Tanganyika ikabaki na billion 700 Vile vile ameshachukua mkopo Mwingine WB wenye dhamani ya trillion 1 kwaajili ya zanzibar...
  3. chongchung

    Nakurians

    Wenyeji wa Nakuru wanapinga County yao kuwa na status ya city. Sababu haina mfumo wa maji Safi ya Bomba wala mfumo wa maji taka
  4. chongchung

    World Bank : Kenya, Zimbabwe, Zambia zaongoza kwa umasikini duniani

    Kenya ni fukara la mwisho hata Burundi hawaoni ndani kwenye EAC ***** Report mpya ya 2021 inasema 61% ya wakenya ni masikini wa kutupwa Report inazidi kudadavua kwamba umasikini uliopo Kenya ni mara 10 ya uliopo Afghanistan na Iraq Ama kwa hakika awamu hii world bank wamechoshwa na mapishi ya...
  5. chongchung

    Tanzania and Rwanda to collaborate on SGR

    Tanzania and Rwanda to collaborate on SGR Construction of Isaka-Kigali standard gauge railway to start this year. During a bilateral meeting between President John Magufuli and his Rwandan counterpart Paul Kagame at State House, Dar es Salaam, on Sunday, Magufuli said the 400 kilometre long...
  6. chongchung

    Tukio kubwa la kijiografia latokea Arusha: Baada ya muda mrefu sana mlima Meru waonekana ukiwa na theluji

    Hili ni tukio kubwa lakini sioni likipewa attention na media, ni baada ya miaka mingi Sana kupita mlima Meru mkoani Arusha umeonekana kuwa na theluji nyingi kama Ile ya mlima kilimanjaro kwa kipindi cha siku mbili kuanzia jana 2nd January 2018 hata leo 3rd January bad theluji inaonekana tena kwa...
  7. chongchung

    East African: Wakenya wawapita Marekani kwa wingi wa wageni Tanzania

    Tanzania ni nchi nzuri sana kiasi kwamba inavutia mpaka wa afrika wenzetu kuwa na ndoto za kuingia Tanzania siku moja katika maisha yao na sio wazungu tu kama tulivyozoea. Najivunia kuwa mtanzania mwenye nchi inayopendwa kote duniani. Data from Tanzania’s Immigration Services Department...
  8. chongchung

    East African: Tanzania has overtaken Kenya in logistics hub in East Africa

    State-run railway firm Reli Assets Holding Company (Rahco) is seeking the supply of the locomotives, 14 of which will be cargo trains. Tanzania has floated a multimillion dollar tender for 19 electric trains to be used on the standard gauge railway (SGR) which is under construction...
  9. chongchung

    Queen Elizabeth aongelea utamaduni wa kurudi nyumbani mwisho wa mwaka

    Huu utamaduni wa wachagga na baadhi ya makabila kurudi kwao wakati wa sikuku ya Christmas umekua gumzo kwa baadhi ya wengi na kujenga sintofahamu kichwani mwa wengi either kwa kukosa ufahamu wa swala hili au kwa sababu maalum. Wengi wamekua wakiupongeza na kutaka wengine waige utamaduni wa...
  10. chongchung

    Kwanini wachagga hupenda kwenda kwao mwishoni mwa mwaka?

    #KWANINI WACHAGGA HUPENDA KWENDA KWAO MWISHONI MWA MWAKA? Nimeamua kuandika kipande cha waraka huu kutokana na kuwepo kwa dhana nyingi potofu juu ya wachagga kwenda kwao kipindi cha mwisho wa mwaka, maarufu kama "kwenda kuhesabiwa". Je ni kweli wachagga huenda kuhesabiwa? Jibu ni Hapana.. si...
  11. chongchung

    Ubungo hali tete, yaelemewa na abiria wa mikoa ya kaskazini

    Ubungo hali tete,yaelemewa na Abiria wa mikoa ya kaskazini Mmoja wa abiraia aliyekosa usafiri katika kituo cha mabasi Ubungo akiwa amekaa chini na mtoto wak mara baada ya kuchoka na kadhia ya kukosa usafiri. Sehemu ya kituo cha mabasi Ubungo ikionekana kwa juu majira ya saa mbili asubuhi huku...
  12. chongchung

    Spika Ndugai katika Hija Israel akutana na Spika wa Israel

    SPIKA NDUGAI AKUTANA NA SPIKA BUNGE WA BUNGE LA ISRAEL Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Israel (Knesset) Mhe. Yuli Yole Edelsten wakati Mhe. Spika alipomtembelea Bungeni hapo. Mhe Ndugai yupo nchini Israel kwa ibada ya...
  13. chongchung

    Biblia ilivyookoa maisha ya mchezaji wa Chapecoense “Neto” kwenye ajali ya Ndege

    Wiki moja baada kutokea ajali mbaya ya ndege iliyokuwa na wachezaji wa timu ya Chapecoense inayoshiriki Ligi Kuu ya Brazil na kuua abiria 71 wakiwemo wachezaji wa timu hiyo, waandishi wa habari, makocha na wafanyakazi wa ndege hiyo, imetoka ripoti kuwa mchezaji Helio Neto aliyenusurika alikuwa...
  14. chongchung

    Wimbo wa Kiswahili wa BABA YETU (gospel) wakonga nyoyo za wakazi wa Dubai Uarabuni

    Dubai Fountain ni moja kati ya vivutio vikubwa vya kitalii vikubwa Dubai na ni moja kati ya water fountain kubwa ulimwenguni. Dubai Fountain mara nyingi huchezwa nyimbo maarafu kama wa Whitney Houston I will always love you na Michael Jackson thriller. Cha kushangaza ni hivi karibuni Dubai...
  15. chongchung

    VIDEO: Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7

    Hamidu ni Mtanzania ambaye elimu yake ni darasa la saba tu lakini hakukata tamaa sababu aliamini kufeli elimu sio kufeli maisha, akaamua kufanya kile alichoamini anakiweza na leo hii ni Milionea na ameanza kujenga kijiji chanyumba zake 1500 Kigamboni Dar es salaam, stori yake kamili iko kwenye...
  16. chongchung

    Wakenya wakamatwa kwa ujambazi Olympic Rio 2016 mmoja adakwa akiwa uvunguni kajificha

    Ile kauli ya Uhuru Kenyatta na Robert Mugabe kwamba wakenya ni majambazi Africa wanaongoza imejidhihirisha huko Rio Brazil....... Afisa wa tano wa michezo ya Olimpiki nchini Kenya amekamatwa ikiwa ni miongoni mwa uchunguzi unaozunguka fedha na vifaa vilivyopotea katika mashindano ya Olimpiki...
  17. chongchung

    Are laptops more important than desks in Kenya's schools?

    Are laptops more important than desks in Kenya's schools? By Emmanuel IgunzaBBC Africa, Nairobi 2016 FromAfrica Share In theory, six-year-old Kenyan pupil Kizito Wafula could soon be using a government-funded laptop, but his school in the west of the country has no desks or chairs - and...
  18. chongchung

    Kilimanjaro Int. airport yaitupa Nairobi mbali kwa kasi ya ukuaji.

    Analysis of International air travel to East Africa this year (January to August) reveals strong growth of 11.2% compared with the same period last year. This is an exceptional performance as growth for Africa as whole has been 5.6%, with countries like Algeria, Egypt, Morocco and Tunisia seeing...
  19. chongchung

    wakenya million 1.5 wapatwa na baa la njaa

    Wakenya zaidi ya million 1.5 wanahitaji msaada wa dharura wa chakula baada ya kukumbwa na janga la njaa kutokana na hali ya ukame mkali uliolikumba taifa hilo la East Africa msimu huu. Source RFA watanzania tuzungumze magazeti Zanzibar Leo. ====================== By Aggrey Mutambo About 1.3...
  20. chongchung

    Telescope za NASA zaonyesha Jerusalem mpya mbinguni ilivyo. Heaven and Hell is real.

    CELESTIAL CITY OF NEW JERUSALEM PHOTOGRAPHED BY NASA’S HUBBLE SPACE TELESCOPE photo source: weekly world news magazine WASHINGTON, DC – Despite new repairs to the Hubble Telescope, NASA refuses to release old photos or take new ones of Heaven! A researcher smuggled one top-secret photo...
Back
Top Bottom