Amount of money does not necessarily justify the quality angalia yale mapipa yenu mliojengewa kipevu oil terminal kisha angalia new Dar oil facility, ninyi kupigwa ni kawaida na pesa yenu siku zote ni takataka
Kunyaland haina order ni ghetto state ndio maana mawazo yao yapo hivyo, Rais ni taasisi kubwa sana eti wanasema alikua airlifted to Kunyaland kama hivi 😂😂😂
Toka 2020 upigwe rungu ya kichwa na karao kwa kubreach curfew laws akili yako imehama? Wapi nimeongea uongo?
https://twitter.com/civilian_watch/status/1243583556674375683?t=TZMvH6zylOIUBB7OJ4t_gg&s=19
Yaani huu uchafu ndio ulikua na tiba ya covid na bado mlikua mnakufa kama panya Pamoja lock down na curfews?
Wengine mlikua mnapigwa kama mifugo wengine kwenye quarantine mlikua na modes of negotiations to escape ila mmepitia mengi mno...
America never took off the maga cap, it just dyed it blue.
All is illusion of political parties turning blue and red interchangeably halafu watakuambia China ni dictatorial state kisa CCP ndio dominion hata huku Africa ni hivyo tu hatujakaa vizuri tukaja na mfumo wetu wa siasa unao synchronize...
Acha akili za mbayuwayu wewe hakuna chochote wagonjwa wa covid walikua wanasaidiwa hospitals duniani kote zaidi ya kuwekwa kwenye ventilators kwa akili yako finyu unafikiri mzena zilikua hazipo? Hospital ya Mzena hata hiyo zahanati yenu ya Nairobi haioni ndani, mkapa katibiwa hapo, mwinyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.