Kweli kabisa na hao walioshika mabango wamejipanga vizuri na wameyashika vizuri kiasu mpaka inatia raha kwa kweli daaah kweli ACT Wazalendo wako vizuri!!!
jamani muwe wavumilivu tu sasa naye anadaiwa kodi ya nyumba, ada za watoto akale wapi sasa na mfumo wenyewe umeshaoza. wakuu wenyewe wanasema ni mwendo wa kupiga tu ngoja nae apige nawe ukipata chaka piga tu mpaka kieleweke!!!!
Yeah ni kweli jamaa walitutangula sana tu sie itachukua muda ila tukidhamiria inawezekana sema ndio hivyo umasikini nao ni shida jamaa wakimwaga khanga na hela vijijini huko wameshamaliza kazi!!!
Yeah ila nafikiri kwa kuwa wamezaliwa Tanzania watakuwa na uraia wa TZ ila sijui sheria inasemaje upande wa uraia wa baba watu wa sheria watusaidie ila kwa kweli inasikitisha sana!!!
Wanatafuta umaarufu kwa mgongo wa dini eti jihad1 wameishiwa kabisa hakuna atayewanuga mkono hawatamaliza hata wiki watasahaulika kabisa wanadhani TZ inaweza kuwa kama kenya na nigeria wameula wa chuya hawana mashiko kabisa wanachokitaka hakieleweki shwain wakubwa.
kweli kabisa mkuu huyu jamaa mie natamani ningekuwa hata mshauri wake tu maana hajui atendalo yy anavyoona wabunge wenzie wanavyocheka anadhani ameongea point kumbe wao wanamdhihaki jamaa hana kitu kichwani sidhani kama wapiga kura wake watamrudisha bungeni hamna kitu kabisa.
Nadhani hata wewe umekosea ni kurithishana inatoka na neno urithi, kuridhishana ni neno lenye maana tofauti mfana kuridhishana kwenye tendo la ndoa n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.