MUSA KWA MAELEZO YAKE ALIOKOTWA AKIWA MDOGO AKAISHI KWA PHARAO ALAFU AKAWA MKUBWA .... AKAENDA KUWAKOMBOA WAMISRI.....
KUKAA KWA PHARAO HUYU JAMAA ALIKUWA ANAJUA MENGI SANAAAAA... NAISI KUNA UWEZEKANO MUSA ALITUMWA NA HATA NA HUO UFALME....
KWANINI NAWAZA HIVI??
KWA SABABU HADITHI ZA BIBLIA...
Kwa kuelewa fika kuwa watanzania wengi wanategemea kupata habari kutokea kwenye ile page ya dada wa taifa.. vodacom wameamua kutupatia bure huduma ya instagram kila uongezapo sh 1000.
Hii offer sio kwa bahati mbaya wanaelewa fika kuwa waTz ni binadamu na wamebinywa sana ktk kupata information...
CCM MSITEGEMEE POLISI - KIKWETE
11 Novemba 2012
RAIS Jakaya Kikwete Novemba 2012 aliwaonya wanachama wa CCM akiwataka waache kubweteka kwa kuwategemea askari polisi katika masuala ya kisiasa, kwani kufanya hivyo watakuwa wanajidanganya.
Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifunga Mkutano Mkuu...
HIVI SISI WATANZANIA NI WAJINGA KIASI HIKI KWELI??
HAYA BABU YENU WA BAHATI ZA KUOKOTA KAOKOTA TENA MIHELA HIYOOOOOO,.
Leo Rais Magufuli Anasema Kuna Dolla Billion 1 zimekamatwa Uwanja wa Ndege zilikuwa zinaingia hapa Nchini (nilishituka sana)
Sasa Hapa ndipo leo Natumia Maneno ya JK Akili...
Nimebahatika kuhudhuria kongamano la uzalendo na utaifa lililoandaliwa na wizara ya habari utamaduni na sanaa na michezo....
Tukio hili kwa asilimia 85 limehudhuriwa na vijana na mgeni rasmi ni mama yetu samia Suluhu... Lakini vijana wameanza kuondoka kuanzia saa 12 kuiacha meza kuu...
Wewe ni mavi ya ngedere.......
Changamoto za hayo majengo usiongee kama haupo hapo...unaropoka ropoka tu.... Ground Floor dari lake limepiga nyufa ambapo mtu akideki maji yanavuja kabisa...na hiyo ground imebeba foor nyingine.....
UNATETEA UPUUZI HAPA...
Rais wetu kwa moyo wa dhati kabisa ameamua kuwaamini wataalamu wa ndani na kuwapa kazi ili kuwajengea Uwezo na kukuza utaalamu wao. Tatizo kubwa lilipo nchini mwetu ni kwamba mwizi ni mwizi tu ukimuita kibaka, jambazi, fisadi, kwapukwapu hizi ni mbwembwe tu mwisho wa siku anabaki kuwa ni mwizi...
Hebu tujaribu kuunganisha hizi dot… kwanza
Agosti 21, vituo viwili vya redio nchini, Clouds Media Group na EFM, vilizindua matamasha yao mawili makubwa watakayoyafanya mwaka huu. FIESTA na MZIKI MNENE!
Hii FIESTA nafikiri inafahamika. Ni miongoni mwa tamasha kubwa nchini linaloandaliwa na...
Ndugu wapendwa wateja wetu, tunapenda kuwataarifu kuwa Halotel hatujatengeneza wala kusambaza kifurushi cha huduma mpya ambacho kimesambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii, Kama tunavyojali na kuthamini maadili katika nchi yetu. na tayari tumefungua kesi polisi yenye namba OB/RB/8181/2017...
Wadau wa IT naombeni msaada wenu tafadhali nimesahau password na PIN ya pc yangu...naombeni msaada kwa yeyote mwenye ujuzi ili niweze ku unlock tafadhali
N.B PC NI YANGU WALA SIYO YA WIZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.