Search results

  1. M

    Bongo sasa wanagongesha magari kwenye treni

    hali hii inasababishwa na watumiaji wa vyombo vya moto. Sijui ni lini tutaanza kutumia busara zetu?
  2. M

    Kwa nini warembo wanapenda kuweka simu kunako?

    Mshangao tu..........
  3. M

    Gaddafi.....the man!

    Nachukizwa sana na viongozi wetu Africa. Ni wanafiki sana, hawana misimamo, wanauza uhuru kwa maslahi binafsi. Tumeona haya kwa Mugabe na sasa Gadafi. Congo wamarekani wanashabikia vita huku wakiiba utajiri wa wananchi wake. Libya kwa kutumia branketi la demakrasia wanaisambaratisha nchi, watu...
  4. M

    Maamuzi ya NEC ya CCM na Hatima ya Spika Sitta

    Tunapaswa kujenga uwezo wa "wa kumeza habari na kuzichambua tumboni" kabla ya kuzitoa hadharani. Hili litatuepusha kupoteza muda wetu kupambana na "upupu".
  5. M

    Ritta Paulsen wa Bongo Star Search

    nakubaliana 100% na Mutekanga. we have to address issues and not personalities. Kwa hakika huyu dada anastahili pongezi. Mengi tukijadili kwa mfumo huu, tunaweza kufanikiwa kuleta chachu ya mabadiliko katika taifa letu. Tutangulize maslahi ya taifa, na hasa wanyonge mbele kwa kila tulisemalo, au...
  6. M

    Maumivu ya kiuno na mguu kufa ganzi kwa vipindi

    jenga utamaduni wa kufanya uchunguzi wa afya,
  7. M

    JK ndani ya Ruaha National Park

    we should be constructive. kwani kuna ubaya kwa kiongozi wa nchi akienda kupumzika katika moja ya hifadhi zetu za taifa! Nafikiri ni muhimu tutoe maoni yatakayosaidia kuboresha utendaji, na si si "upupu" kama baadhi yetu tufanyavyo
  8. M

    Habari za afya ya Dr. Harrison Mwakyembe

    I have been closely following discussions on various issues, and now I am concluding, may be its just wasting of time. Most issues are baseless and lacks analytical tools. can we change this to make our "VENUES MORE MEANINGFUL AND EFFECTIVE?"
  9. M

    Issa Michuzi na vekesheni

    Ubishoo umewatutawala sana baadhi ya wa-TZ. Mfano, baadhi yetu tumeanzisha glob ili kufacilitate kujishaua, badala ya kuwa chachu ya mabadiliko.
  10. M

    Ajali ya Dr. Mwakyembe na yatokanayo

    Pole sana Dr. Mwakyembe. Lakini tutumie fursa hii kujadili. Ajali Tanzania, Nani wa kumlaumu? Serikali, Madereva? au wengineo?. Kwa mujibu wa miongozo, watumiaji barabara wanapaswa kuendesha KM 80 kwa saa. Viongozi (hasa Mbunge, mwanasheria) haeshimu agizo hili. Matokeo yake tutasema shimo...
  11. M

    Mkuu wa Magereza Mwanza Matatani!

    take the important message only.
  12. M

    Na Huu Si Ufisadi?

    hello all Mtamu is happy to join you. Takk
Back
Top Bottom