Hata mwanzo ilikuwa bure
Sema shida ununue kisha urudishiwe kwenye return zako
Na ndio njia iliyofanya wengi wajifiche huko kwamba hawana pesa ya kununulia
mkuu ili mtu awe mwanasheria inahitajika nini? nakumbuka alisema degree ya pili alifanya sheria na kuna wakati alikuwa kwa mkono advocate wakati amemaliza au akiendelea ana elimu yake
Naomba kueleweshwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.