Naona leo Slaa kaweka live mambo yote yaliyokuwa nyuma ya pazia. Kaongelea unafiki wa Sitta kaatika uchaguzi mkuu 2010, kuhusika na CCJ, Unaibu Waziri, kutaka kiti cha Uspika 2010, nk.
Sitta ni hatari kwa maendeleo yetu. HAFAI KUWA KIONGOZI WA CHEO CHOCHOTE!
Matatizo niyaonayo:
1. Inakuwaje huyu Public Relations Manager hajui kuwa Tanesco inataka kuchukua mikopo ifikayo Tsh408 Billion?
2. Kwa nini priority ya hii habari imeelekea kupewa Foregin Media? i.e: kwa Managing Director kwenda kuongea nao kwanza na kuwachunia The Citizen
3. Kwa shirika...
Hii habari imenisikitisha sana ukizingatia tunaadhimisha miaka 50 ya uhuru. Haya ndio mazao ya ccm na ujinga wa wananchi.
Kweli ukimwona mtu yupo CCM jua ni mpumbavu!
By The Citizen Reporter
Dar es Salaam
Tanzania, whose aid portfolio has ballooned to over Sh3 trillion (about $2.89...
Habari Wakuu,
Naomba mwenye reference ya wapi naweza kupata sheria ya dhamana atoe hapa, au kama anayo aweke hapa, maana nimesoma habari ya Lema na kushtuka pale hakimu alipogoma kukubali dhamana bila kutoa sababu yoyote. Je hiyo ni sahihi?
Hii inaweza ikawa point nyingine kwenye katiba....Haki...
Govt Dept Marekani imeingia kwenye maji moto baada ya kulipa $16 kwa muffin moja. Huu ndio ule ufisadi kwenye wizara zetu wa chai na maandazi.
Only if we had good media!!
Nimemsikiliza huyu jamaa na nimeona ukweli katika utani wake. Kusema kweli imeniuma. Kwa nini Waafrika tukiongea kiingereza kwa accent ya kiafrika tunaonekana wajinga??
Mara nyingi unakuta mzungu anajifanya hakuelewi. I experienced that a lot, lakini siku izi na mimi najifanya siwaelewi.
Wengine...
Malaysian police have said they will block access to the capital Kuala Lumpur for 24 hours because of a planned pro-electoral reform rally.
Major roads will be shut and public transportation suspended from midnight (1700 GMT).
A group calling itself the Bersih 2.0 coalition plans to hold the...
Nimekutana na hii habari kwa Michuzi na picha waweza kuziona hapa:
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2011/07/president-kikwete-hosts-us-investors-at.html
Ivi policy ya investment kwa sasa ni ipi? Criteria za kuwa investor ni zipi? Na wazao tunapewa nafasi gani za ku-invest katika nchi yetu...
Katika pitapita zangu nimeokutana na hii. Very interesting and truthful in my opinion. Je sisi nasi twaweza kuandika kama hii juu ya nchi yetu hasa tukiangalia utawala wa ccm na sherehe za miaka 50 ya uhuru?
Great Thinkers naomba tujadili maendeleo CCM iliyotuletea toka ichukue madaraka. Ivi kuna kitu CCM imefanya 'beyond the ordinary'? Ni sera gani CCM imeweza kusimamia kwa nguvu zake zote kuhakikisha hiyo sera inafanikiwa? Hapa tunaweza kuweka mfano wa ELIMU, Maji safi, Umeme, Kilimo, nk...
Jinsi Mapinduzi yanavyotokea Kenya huku sisi bado tunaimba na kucheza kama watoto!!
Katiba mpya inahitajika haraka!! Lakini tatizo sisi bado tupo nyuma kiakili mno. Watu wengi hawajui umuhimu wa Katiba mpya. Hivyo ni muhimu kuanza na elimu ya uraia. Ama sivyo tutakuja na Katiba mpya...
Cheki hii uone jamaa wanavyojua kuji-entertain! Huyu Churchill live anaburudisha kweli. Bongo zaidi ya ZeComedy, naona bado hii fani inatupiga chenga!
P.S: I wonder dance styles za bongo zikoje!
Juzi nilianzisha thread ikiongelea hii ishu. Wengi wakasema ni uongo. Sasa sijui ni wao ndio wanajidanganya maana naona ni ishu iliyo serious sana.
Unaweza kuipata hapa: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/136549-je-ni-kweli.html
Leo nimekutana na hii trailer ya Documentary...
This is one of the highest honours any leader can receive from the British. Only three other leaders have given an address at the Westminster Hall. These are the Pope (Benedict), Nelson Mandela and the Queen.
A bit of its history:
Westminster Hall is the oldest building on the Parliamentary...
Mimi nashindwa kuelewa nyimbo nyingine wanapiga club. Jana nacheza mziki mara unakuja wimbo wa Enrique Iglesias - Tonight im f*** u. Ghafla mademu wanajirusha kwa nguvu kweli. Nikajua labda leo tunapewa za bure...kumbe wanacheza wimbo tu na ukiisha hao nyumbani wenyewe!! Nadhani nyimbo kama hizo...
Its about Love na hii hisia ya Mapenzi.
Nina maswali machache ambayo nimekuwa nikijiuliza:
1. Hii hisia ya love inawezaje kugawanyika?
Kwa kugawanyika nina maana kuna love za aina nyingi. Kwa mfano mzazi na mtoto, kaka na dada, marafiki, na wapenzi. Nadhani tunaweza kukubaliana kuwa mapenzi...
Mimi sio mwenyeji wa hili jukwaa, lakini napitapita mara kwa mara angalau kusoma mada.
Juzi w/end nilikuwa kwenye kasherehe na vijana wenzangu kutoka mataifa mbalimbali ya Africa (sana Zimbabwe). Mazungumzo yalielekea upande wa ukabili uliopo Zimbabwe - hasa hao Washona na Wandebele. Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.