maggid
Wacha kudanganya watu. Katiba ya New Zealand imeandikwa.
I quote: "New Zealand is often incorrectly described as not having a "written constitution". New Zealand has a constitution, but it is not all in one document, and it includes crucial pieces of legislation, several legal...
Huyu jamaa alikuwa muhuni tu! Yani aliona huu uovu wote unatendeka alafu akaa kimya tu! Ni sawa na baba aone mtoto wake anaiba alafu aanze kuongea kwa mafumbo tu! Hovyo kabisa...
Mbona kwenye hiyo habari ndani ya gazeti hakuna mahali inasema pameuzwa? Hiyo idea ya sehemu kuuzwa mleta mada umetoa wapi? au kiingereza kimekupiga chenga?
alafu amani inawezaje kuwa utamaduni wa mtu? Ivi unaposema 'amani ni utamaduni wetu' hii statement kweli ina-make sense ukiichambua? Au tunaisema kwa vile it sounds good?
nachukia hii comment 'amani tuliyonayo haikushushwa na Mungu'. Ivi kweli unafikia mahali unamkufuru Mungu namna hii? Hakuna chochote kitokeacho humu duniani bila yeye kuki 'ruhusu'. Kwa maneno mengine, huwezi kufanyikiwa kwa matendo yako peke yako. U obviously have to put work, but God blesses...
Wanafiki kweli hawa! Juzi Slaa amemwaga Sitta live jinsi alivyo mnafiki. Kama wanawajua hao watu, kwa nini wasiwataje? Mafumbo mengi ya nini? Mnatafuta nini huko ccm? Upuuzi mtupu!
RIP kamanda. May ur shed blood be the need ammunition to bring the end of a tyrant ccm rule. May u children live in a better Tanzania with an open democracy resulting from your shed blood. May ur blood not have been shed in vain.
lakini ninajiuliza pia umakini wa Chadema. Baada ya Sitta kuonyesha kutetea ufisadi akiwa kama spika bungeni kwa kugunga mijadala mbalimbali, kumtoa Zitto bungeni, nk (Slaa ameeleza vizuri katika hii video), Chadema walikuwa tayari kumpa ticket ya kugombea Urais kupitia chama chao?! Kwa maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.