Masaada computer yangu imezima ghafla ina heat Sana indicator ya charge inawaka ukiweka chaji ila ukiiwasha haiwaki kabisa hakuna indicator yyte ni Acer laptop Aspire E1-11
Tafadhali kama kuna fundi mzuri anisadie !!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hello guys tafadhali mwenye kufahamu wapi nntapata spair ya SAMSUNG FLAT TV inch 32 na Bei yake naomba nijulishwe nntaipataje nipo GEITA
Natanguliza shukran zangu za dhati kwenu
Sisi waislsmu hatufuati mikumbo hiyo ya nyaraka, na mjuwe kabisa waislamu si watu wa kukurupuka, tunajua chuki zenu dhidi ya uislamu na waislamu hivyo mtego huo hatuingii!!!!?
Wakuu heshma kwenu,!
Simu yangu alcatel 5023F imezingua haiingizi charge na kuna notification inayosema "Phone is charging out now" charge inazidi kuisha na sijui la kufnya !
Tafadhali sana wenye ujuzi na hili natarajia masaada wenu na mola wenu mkarimu atawabariki sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.