Kwa kweli nawaunga mkono kwa suala la umoja unaoleta amani ambayo inatupa fursa ya kumuabudu Mungu wetu kwa uhuru zaidi.......Ebu toeni msimamo wenu wa nguvu. Mbarikiwe wakuu wa masinagogi!!
Pole sana Shibuda kwani umegusa maslahi ya wenzio bila ya kufahamu ama umefanya maksudi!! CDM wana uhakika sana na 2015, lakini msuguano wa Mbowe, Slaa na Kabwe katika kuwania Urais kupitia Chama hicho unaweza ukaleta balaa na umaarufu wote ukaisha, hakuna aliyekamilika tukifikia kwenye suala la...
Kwa kweli Mungu wa Majeshi aingilie kati juu ya suala hili, kwani hata wale niliwaona kuwa ni waaminifu kumbe walikuwa hawajapata nafasi tu ya kuitafuna Hazina yetu ambayo hivi sasa ni nyeupeeeeeeee!!!!!! Najiuliza hivi zile barabara zinazojengwa kwa kutumia fedha za ndani kwa asilimia 100...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.