Ni kweli kabisa usafi ni jambo la muhimu katika mahusiano, utakuta mtu ananuka jasho au mdomo mpaka ukitaka kua nae unaanza kujifikiria utakabiliana vipi na hali hiyo.
Ushauri wangu ni kwamba kina kaka tujitahidi kupiga miswaki vizuri hasa sehemu za ulimi mana ndo zinaleta harufu mbaya, pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.