Search results

  1. abubakar daiy

    Kupwaya kwa uongozi wa CHADEMA

    nimeona jioni wakati bunge lina ahirishwa na jinsi wabunge wa cuf walivyokuja juu.ukweli chadema wako sahihi na mhe wenje,alikuwa na haki ya kukataa kuomba radhi.nime google vyama vya kiliberali africa,tanzania ni cuf,na vitu waliberali wanachosimamia ni hayo mambo ya ushoga.cuf walipaswa...
  2. abubakar daiy

    Naibu Waziri January Makamba anatembelea Bajaj

    da toka lini! Tz,hawachukizwi na kinachowakera wanachi,hawakerwi na kinachowakera wa tz.wanapenda maisha ya ukwasi,hawa viongozi wa aina hii hawatufai.
  3. abubakar daiy

    Swali la Kizushi: Kwanini Job Ndugai anamuogopa Tundu Antipasi Lissu?

    ah inafurahisha jinsi lisu anavyowakamata kwa hoja,ndugai huwa hana point amekalia kutumia ubavu tu.
  4. abubakar daiy

    Mlipuko Arusha: Watu 8 wakamatwa, wamo raia wanne wa Saudi Arabia

    hii nimesikia dw -radio mahojiano na kamanda wa polisi arusha.wamekamatwa au wanashiliwa na polisi ni watu nane,wanne raia wa saudi arabia ,wawili watanzania.hapa suala si victor au ramadhan.ni nani anahusika na shambulizi la jana,katumwa na nani?.na kwanini?.
  5. abubakar daiy

    Taswira: Makamu wa rais Tanzania, askofu mkuu wa KKKT wawafariji majeruhi wa mlipuko Arusha

    Hiyo ndizo kauli ambazo si sahihi,dk bilal hakwenda Arusha kama kiongozi wa kiislam,amekwenda kama Makamu wa Rais ,na ni halali kwake kufanya hivyo. hebu tueleze huo unafiki wa waislam ni nini?
  6. abubakar daiy

    Ushauri kwa Polisi kuhusu Arusha: Itisheni wananchi waliokuwa na Camera

    ha sijui polisi wetu wanafikiri hayo. kwanza scene au eneo la tukio limeshaharibiwa sana..maana mabaki ya mlipuko yana maana sana.husaidia kujua bomu lilie limetengenezwa wapi ? na utaalam huo umepatikana wapi,ni style ya kina nani?.
  7. abubakar daiy

    Ushauri wangu wa bure kwa viongozi wa CCM baada ya mlipuko wa Bomu Arusha

    i don't who advice the president,kwa sasa alitakiwa awe magogoni au chamwino au angani akirejea nyumbani,kukutana kamati ya ulinzi na usalama na kusimamia tatizo hili.
  8. abubakar daiy

    Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa

    Siku nyingine ya majonzi ....tunawapa pole waathirika wa tukio hili, as usual vyombo vyetu vya habari vya kitaifa wameshindwa kutupa habari za tukio hili.
  9. abubakar daiy

    CHADEMA ni waongo na wazushi ukweli kuhusu shutuma ya KINANA huu hapa

    Tatizo la viongozi wa serikali ni kukurupuka na majibu yasiyo na tija kwa wananchi..wanaleta maswali mengi zaidi. hivi kuna tatizo gani kama ni wa kweli wangechunguza hizo tuhuma?. chadema wanashindana kwa hoja....na kwa madudu ya serikali ya ccm siku zote watashindwa kwa hoja.
  10. abubakar daiy

    Channel 10 wametishwa na serikali kuhusu kipindi maalumu cha Mwangosi

    kawaida ya television station zetu hazipendi kukwaruzana na serikali ,sijui kama watarusha hicho kipindi huenda wakasema kinahatarisha usalama wa nchi tusubiri tuone....
  11. abubakar daiy

    Mhe. Wassira azungumzia Mauaji yanayotokana na jeshi la polisi live on TBC

    Hana jipya kama kawaida ya viongozi wetu huja na hoja kwa kuchelewa na sababu zenyewe hazina mashiko.
Back
Top Bottom