Kwenye suala la upepo wa matairi unaotakiwa ni, kila model ya gari imewekewa kibandiko kinachokuwa kwenye frame ya mango wa dereva. Hapo utaona kiwango sahihi ca upepo kwa tairi za gari yako. Hiyo ya kuweka 30 kwa 40 sio sahihi. Aidha idadi ya watu au ukubwa wa mzigo pia ni factor ya kudetermine...
Lakini si umelewa nilikuwa namaanisha kitu gani.? Bado unautumwa Wa kikoloni kichwani mwako. Kingereza ni lugha kama nyingine kisukuma, kichaga, nk. Sihitaji kuijua vizuri lugha hiyo ya kingereza kwani sio lugha yetu ila ya kitumwa. Sipendi kuendelea kutukuza wazungu. Fikra zangu zilikombolewa...
Nataka kuanziasha financial institution. Wadau naomba msaada Wa procedures za kuanzisha hiyo biashara. Tayari nina investors walio tayari kutoa funds za capital na operations. Napatikana kwenye 0713 455 002 kwa mawasiliamo zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.