Unajua hizi sheria za kuwaumiza wanawake eti unashtakiwa, isije ikafika siku ikatungwa sheria kwamba ukimchubua mwanamwali wakati wa TENDO eti nalo likawa kosa.
Mapema mno kuandamana.
Elimu tunayoitoa hapa inapaswa kwanza kupenya ktk mioyo ya Watanzania then hayo maandamano yataaandamana kila baada ya muda mfupi kwani sasa hivi hata polisi nao wanapaswa kuelimishwa.
Ops mawazo ya kilevi haya
Wakubwa nipo ulevini
Ila nimeirusha hii baada ya kuona DECI imeshazama hatimaye baada ya wadadisi na wadakuzi kuichambua inavyopaswa.
Mnaifahamu hii POWER CLUB??
watu wanaliwa kimya kimya maana bora hao DECI kuna waliowahi kuvuna ila ktk hii klabu ambayo imejichimbia mizizi ktk makanisani (PCT)...
Utakuta mpaka maprofesa wamo humo.
na wachungaji wakisindikizwa na maaskofu wanawahimiza waumini kuingia ktk hizi scheme za madawa ambayo hayajaruhusiwa
Wizara ya Afya hawajatoa tamko
Mamlaka ya dawa na vyakula wanahangaika na metakeflin wanasahau hii piramidi scheme kwenye sekta ya afya.
Nashangaa ktk maelezo yoooote ya hizi tianshi sijui forevago and whateva hakuna side effects.
Hic!
Kula kilaji pata afya
Hic!
Konyagi ya wizi inanoga pia burp!
Enewei ngoja nijaribu kutoka nje ya ndoa kisha nitamwaga ripoti hapa jinsi inavyonoga.... hic!
Kelly upo wapi haaaaniii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.