Uko Sahihi kabisa Chalao Sekondari ni Miongoni mwa Shule 3 zenye kidato cha 1 hadi 4 ikiwa na Maabara Tatu zinazojitegemea kwa Masomo ya Fizikia, Kemia na Elimu ya Viumbe.
Kata ya Chome ina kwamishwa na Barabara na nitasema kwa nini
1.Chome ina Msitu wa Hifadhi ya Dunia ambao ni fursa kubwa kwa Utalii, kikwazo ni Barabara na TFS wanalifahamu.
2. Chome haina Soko la Kisasa japo kuwa na Kilimo kinacholeta Maeneo mengi ya Same na Mikoa Mbalimbali. Soko la Chago ni...
Wana JF kuna mambo ya msingi ambayo hayahitaji ushabiki wa mawazo kama sio Mtaalamu. Mimi ni mwalimu na Sioni maana ya GPA kwenye Elimu ya sekondari pamoja na kuondoa penati ya Hesabu. Tunaweza kujidanganya tunasoma badala ya kusonga mbele tukawa tunapiga gwaride tu lakini hatusogei. Mfumo wa...
Dar university dont accept diploma from 2001 for education to join undergraduate courses !!!!!!! How many gvt do we have ? Who is the boss? Ministry or udsm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.