Search results

  1. Freesoule

    Msaada: Kuna wimbo nautafuta miaka mingi ila sijawahi kuupata

    Kwa muda mrefu nilikuwa napenda kusikiliza kipindi cha "Je Wajua?" cha RFA ambacho kinarushwa Jumapili saa 9:30am (sijui kama bado kinarushwa). Nilikuwa nafurahia habari za kushangaza na kusisimua ambazo mara nyingi zilikuwa zinatoka tovuti ya bilieveitornot.com au jarida la Guiness World Book...
  2. Freesoule

    Haki: Orodha ya vifo vya kutatanisha, kutekwa na kupotea kwa watu Tanzania, vinavohitaji kufanyiwa uchunguzi na haki kutendeka

    Habari wanajamvi. Nimekuwa nikifikiria kwa muda sasa kuhusu suala la haki na nikaona ni muhimu kutunza rekodi ya matukio ya uhalifu yanayotokea Tanzania ili kuwasaidia wananchi, wapigania haki, wapigania haki za binadamu, wanasheria na waendesha mashitaka kupata sehemu ya kuanzia wanapoamua...
  3. Freesoule

    CHADEMA, imarisheni tovuti yenu

    Najua kuwa pengine hili si suala la kipaumbele kwa kuwa mko 'bize' kuwafikia wananchi moja kwa moja, wengi ambao pengine hata hawatawahi hata kuitembelea tovuti yenu. Pia, katika ulimwengu huu wa mitandao ya kijamii, ni rahis zaidi kwenu kuwafikia wanachama wenu, Watanzania na ulimwengu kwa...
  4. Freesoule

    Nape Nnauye, laana za goli la mkono la 2015 na kusimamishwa kwa matangazo ya moja kwa moja ya bunge zitakuandamana maisha yako yote

    Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu wa 2015, aliyekuwa katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi (CCM) wakati huo, Bw Nape Nnauye, alidai kuwa CCM ingeshinda uchaguzi huo hata kama ingekuwa kwa goli la mkono. Bw Nnauye alikuwa akiufananisha uchaguzi huo na mchezo wa mpira wa miguu. Katika mpira wa...
  5. Freesoule

    Wako wapi wasanii wa Injili waliotumika kuwanadi makada wa CCM uchaguzi mkuu wa 2015?

    Wako wapi wale wasanii uchwara wa Injili waliotumika kuwa-promote wagombea wa CCM kwenye uchaguzi mkuu wa 2015? Bon Mwaitege, Rose Muhando, Bahati Bukuku, Upendo Nkone, Martha Mwaipaja, n.k. Akina Rose Muhando, Bahati Bukuku, Martha Mwaipaja, Upendo Nkone? Mimi tokea 2015 niliacha kabisa...
  6. Freesoule

    Tunaposema maendeleo ya watu badala ya vitu, msikilizeni boss wa IMF, Christine Lagarde

    Tunapozungumzia maendeleo ya watu badala ya maendeleo ya vitu, CCM na wapambe wa Rais Magufuli huwa hawaelewi kabisa. Trevor Noah kutoka The Daily Show with Trevor Noah anamhoji mkurugenzi wa shirika la fedha duniani (IMF), Bi Christine Lagarde kuelekea mkutano ujao wa mataifa 20 yenye uchumi...
  7. Freesoule

    Rais Magufuli, Katiba Mpya ni kwa manufaa mapana ya Watanzania wa kizazi hiki na vile vinavyofuata

    Rais Magufuli, kwa muda mrefu yamekuwepo malalamiko juu ya katiba ya sasa ya Jamhuri ya Muungano, wala hayakuanza wewe ulipoingia madarakani. Serikali iliyokutangulia ikiongozwa na Raisi Kikwete ilikumbwa na kashifa nyingi za ufisadi, ubadhirifu na rushwa (IPTL, Escrow, Richmond, n.k.) mpaka...
  8. Freesoule

    Ujumbe kwa Tanesco: Mpango wa usambazaji umeme vijijini (REA) umekumbwa na ubadhirifu na rushwa

    TANESCO, kuna malalamiko sehemu mbalimbali za nchi kuhusiana na mpango wa usambazaji umeme vijijini (REA) ila sauti za wananchi zimekosa uwakilishi. Nitazungumzia yale niliyoyaona huko Rungwe, katika vijiji vya kata ya Kalalo. Sehemu nyingi umeme waliunganishiwa watu wachache tu, tena wale wa...
  9. Freesoule

    Uchomaji hovyo wa taka kituo cha mabasi Mbezi Louis ni uharibifu wa mazingira na kero kwa wasafiri

    Habari zenu wakuu. Leo nimepita kituo cha mabasi cha Mbezi Louis almaarufu Mbezi Mwisho. Kama picha zinavyoonyesha, kati kati ya sehemu ya juu na ile ya chini (zinapopaki gari za Gongo la Mboto) za kituo , taka zinachomwa na moshi kusambaa kituoni. Huu ni uharibifu wa mazingira. Pili, ni...
  10. Freesoule

    Uganda: Mbabazi Should Have Coffee With Tanzania's Lowassa

    By Pius Muteekani KatunziFormer Prime Minister John Patrick Amama Mbabazi has finally done what he ought to have done a long time ago. He has declared he will run for presidency outside the National Resistance Movement (NRM). Mbabazi said although he had not quit the party, he would not be its...
  11. Freesoule

    The Washington Post Wanavyouzungumzia Muswada wa Sheria Mpya ya Habari Tanzania

    Mwandishi anataja mambo machache kati ya mengi ambayo itakuwa ni mwiko kuyatolea taarifa za kiutafiti endapo muswada wa sheria mpya ulioleta mkanganyiko utasainiwa na Raisi. Macho ya ulimwengu yanaiangazia sheria hii. Five charts that may soon be illegal in Tanzania - The Washington Post
  12. Freesoule

    Vitabu vya historia ya Tanzania

    Wanajamvi, Kwa yeyote mwenye kopi laini (soft copy) ya kitabu cha historia ya Tanzania, hasa vile vilivyoandikwa na Taasisi ya Elimu Tanzania, naomba anitumie au kuiweka hapa jamvini kama inawezekana. Asante, Freesoule
  13. Freesoule

    Je Wajua? Radio Free Africa

    Kwa muda mrefu nilikuwa napenda kusikiliza kipindi cha Je Wajua? cha RFA ambacho kinarushwa Jumapili saa 9:30am. Nilikuwa nafurahia habari za kushangaza na kusisimua ambazo mara nyingi zilikuwa zinatoka tovuti ya bilieveitornot.com au jarida la Guiness World Book of Records. Lakini pia nilikuwa...
  14. Freesoule

    How To Repair a Corrupted Memory Card Displaying RAW format ?

    Hi Tech giants, hope you are doing well. I've a 14GB memory card that I've been using in my Android phone, but it got corrupted after the phone crashed down. It changed it's format from the normally readable one (was FAT32) to a raw, Windows unrecognizable format (RAW). Now I've tried so many...
  15. Freesoule

    Tujiandikisheni Kupiga Kura, Ushabiki tu Hautoshi!

    Katika chaguzi nyingi zilizopita hapa Tanzania mengi yamekuwa yakijitokeza. Mojawapo ni wapenzi wa vyama mbalimbali kutoridhishwa na asilimia ya ushindi wa vyama vyao. Si mashabiki na wapenzi tu, bali hata kwa viongozi wenyewe wa vyama limekuwa jambo la kuwashangaza kuona tofauti kubwa...
  16. Freesoule

    Help On How To Easily Get a Passport

    Hellow members, I've been trying to apply for a passport to the Ministry of Home Affairs but they pose somewhat difficult conditionalities. As a cititizen I think I've got the right to own a passport since I can travel at any time upon my wish. I don't want to rush for the last minute to apply...
Back
Top Bottom