Muhali gani wakuu wa kaya? Naomba msaada kwa yeyote mwenye kuweza kunisaida kuipata Monitor tajwa hapo juu iwe kwa kuagiziwa nje au vyovyote vile.
Napatikana Dar es Salaam, naomba kuwasilisha.
Wandugu salaaam za Eid ziwafikie wote popote mlipo. Naomba kufahamishwa namna navyoweza kupata hizi nyumba za kupanga za National Housing.
Naamini nitapata ushirikiano wa kutosha toka humu jamvini.
Nasema haya kwa masikitiko makuu kwani tangu saa nne nipo jirani na mgonjwa ametoka handeni kaandikiwa na daktari akafanyiwe kipimo cha xray cha ajabu mhusika mkuu hayupo eti ameenda kula ni masaa mawili sasa yamepita.
Inasikitisha sana kwakweli utoaji wenu wa huduma hauridhishi.
Nawasilisha
Kwa mwenye gari tajwa hapo juu naomba tuwasiliane.
Sifa za gari:
1. Gari iwe ya milango mitano
2. Iwe manual
3. Hali ya gari iwe inaridhisha kwa muonekano wa ndani na nje
4. Bei yake isizidi milioni 5.5
Tuwasiliane kupitia 0754-342-034
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.