Nakubaliana na wewe... tatizo sio barabara ni mpango mzima wa mji... tunahitaji kuangalia mpango wa mji upya na kutafuta njia ya kudumu ya kupunguza tatizo hili sio short term solutions
hii noma ila kumbuka mtoto umleavyo ndivyo akuavyo... same applies to women... ukimwonesha mapema unataka magoli mengi kwa wiki, atakua na tabia ya kukupa nafasi hiyo lakini ukizembea mapema ndani ya ndoa baadae matokeo yanakuwa kama haya...
kwa sasa ongea nae, weka mambo wazi kuhusu mahitaji...
Nilifika hospitali moja kubwa iliyopo maeneo ya Mikocheni juzi, jumatatu... sikukuu ya pasaka, baada ya kuhisi nina homa kali
Niliingia chumba cha kumwona daktari nimwelezee matatizo yangu baada ya kulipa Tsh10,000 consultation fee na nilikutana na harufi mbaya sana. Daktari huyo mwenye asili...
i totally agree with you. Tatizo sio rangi yetu bali ni utamaduni wetu. Tumejifunza kunyenyekea rangi nyeupe na kutaka kupata vitu bila ya kufanya kazi kwa bidii. Hatuna utamaduni wa kuweka akiba, kuwekeza na kufikiria kuhusu kesho. Tunataka starehe huku mapato yetu ni madogo. Tusipofaulu...
Maria Roza is my hero ... she makes me wanna go hmm hmm, :)
Ningelikuwa na mali, ningekanunulia rav 4 nyeusi kawe kananiendesha mchinyi na kwenye barabara za JF, mwenye wifu achinyonge
31% of free is ehhh ehh extra free? ama unatulipa kututengenezea website? na tangazi hili liko sehemu mbili, hapa na kwa biashara ndogo ndogo. Hii pia inapaswa kuondolewa kwani sio nafasi ya kazi, sio tender ni ehh ehh Ni Tangazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.