Search results

  1. M

    Aptitude Test UAP Graduate Program

    Mmmh mi mwenyewe nimetumiwa hiyo email ila bado sijafanya any assignment
  2. M

    Nyumba inapangishwa

    Malipo kwa muda gan..miez sita o mwaka?
  3. M

    i pod apple 64gb inauzwa

    guarantee muda gan?
  4. M

    i pod apple 64gb inauzwa

    mi nataka kwa hyo bei
  5. M

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    jaman tuache kukatishana tamaa,ndio tunajua kaz ngumu wenyewe walisema kwenye interview so mtu ulikuwa na option ya kukubali o kukataa...mwanzo mgumu bora 70,000 kuliko kukaa nyumban bure
  6. M

    Lead Generator Barclays kuna matumaini au tuangalie usawa mwingine

    walioitwa ni cashiers jaman..lead ni wik ile ijayo..nimeambiwa na hr mwenyewe so tuwe wavumilivu
  7. M

    Ugonjwa wa Masundosundo mwilini na sehemu za siri (Genital & Skin Warts)

    nimevutiwa na hii topic...mim nilishawah pata genital warts nikatumia dawa inaitwa podosal paint vikaisha..je ninaweza nikawa kwenye hatar ya kupata kansa ya kizaz?
  8. M

    Lead generator barclays kimyaa....

    bado...vip umesikia chochote
  9. M

    Lead generator barclays kimyaa....

    jaman kwa tulioambiwa tupeleke vyeti na vtu pale barclays then tusubir kuitwa vipi mbn kimya...mwenye news yoyote tujulishane..
  10. M

    Natafuta hizi series za kikorea

    mim pia nahitaji hzo za kwenye external yako@bigboi
  11. M

    Kwa wanaosoma CPA module E mlioko Morogoro

    Kuna review zinatolewa pale pamba house first floor panaitwa EMAC na walimu wa Mzumbe check this no.0753 891744 anaitwa Mr.Malubi
  12. M

    nimeitwa kwenye interview ya lead generator barclays ni maswal yap nijiandae kuulizwa

    jaman wana JF nimeitwa kwenye interview barclays jtano position ya lead generator kwa anayejua anisaidie nijiandae kuulizwa maswal gan?
  13. M

    natafuta used laptop nzuri

    wana jamvi kwa yoyote anayeweza nisaidia pata laptop used kwa tsh.350-400 within this week pliz pm me!
  14. M

    Employment and how to start part time Business, the only solution for employees to win.

    Am interested with those free email guidance please how do i get them....
  15. M

    Jaman nisaidien tcu wameninyima tena chuo

    Najaribu ku login naambiwa login failed
  16. M

    Jaman nisaidien tcu wameninyima tena chuo

    Jina langu lipo tena nimekosa chuo wakati nimefaulu vizuri tu inabidi niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena.
  17. M

    Inapakia......Inapakia

    Jaman mie nimekosa tena chuo inabid niapply 3rd round mwsho 30th ila kila nikifungua web ya tcu inakataa nisaidie nifanyaje na nimefaulu vzur tu..naomben mnisaidie jinc ya kuapply
  18. M

    Jaman nafanyaje kuapply for 3rd round ya tcu

    Mana majina yametoka 2nd round cjabahatika na kila nikichek website yao naambiwa "could not locate remote server"..nimechanganyikiwa na deadline ni 30th august..nisaidien jaman
  19. M

    Unajua kwa nini Mzumbe university ni chuo kikuu bora ktk fani ya uhasibu?

    Wat ua sayin ts absolute truu...nimemaliza mzumbe en am proud to say dat ts da best chuo kwa fani hyo...
Back
Top Bottom