jaman tuache kukatishana tamaa,ndio tunajua kaz ngumu wenyewe walisema kwenye interview so mtu ulikuwa na option ya kukubali o kukataa...mwanzo mgumu bora 70,000 kuliko kukaa nyumban bure
nimevutiwa na hii topic...mim nilishawah pata genital warts nikatumia dawa inaitwa podosal paint vikaisha..je ninaweza nikawa kwenye hatar ya kupata kansa ya kizaz?
Jina langu lipo tena nimekosa chuo wakati nimefaulu vizuri tu inabidi niapply 3rd round nimechanganyikiwa na kila nikichek web yao naambia couldnt locate server siku zinaenda tu naombe msaada wenu jinsi ya kuapply tena.
Jaman mie nimekosa tena chuo inabid niapply 3rd round mwsho 30th ila kila nikifungua web ya tcu inakataa nisaidie nifanyaje na nimefaulu vzur tu..naomben mnisaidie jinc ya kuapply
Mana majina yametoka 2nd round cjabahatika na kila nikichek website yao naambiwa "could not locate remote server"..nimechanganyikiwa na deadline ni 30th august..nisaidien jaman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.