Search results

  1. TheChoji

    Hivi pisi "za kawaida" zanaliwa na akina nani? Wengi wanajisifia kupita na pisi kali tu

    Wanawake wazuri hua wana tatizo kubwa sana la kisaikolojia. Wao hudhani kwamba uzuri wao ndio kila kitu, hawana tena haja ya kuwa na heshima, usikivu nk. Ndio maana wengi utakuta hata kitandani hafanyi chochote manake anaamini uzuri wake tu unatosha. Na kiburi chao kinatokana na ile kuona...
  2. TheChoji

    Aibu: Waajiriwa wanaojiweza ni wengi kuliko wafanyabiashara. Maeneo ya kishua kuna waajiriwa wengi kuzidi wafanyabiashara

    Hata wafanyabiashara wanaotoboa haraka nao wengi ni wezi/dhulumati/wapigaji/walozi nk
  3. TheChoji

    Shauri yenu kwakuwa ndiyo njia mliyoichagua

    Hakuna anae jali
  4. TheChoji

    Hivi pisi "za kawaida" zanaliwa na akina nani? Wengi wanajisifia kupita na pisi kali tu

    Hapo kwenye pisi kali kuwa tamu naomba nipingane na wewe mkuu. Uzoefu wangu ni kwamba pisi kali nyingi ni nzuri kuzitazama kama ulivyosema iwe inapitapita uchi au ndani ya lingerie/night dress nyepesi. Ila kwa suala la UTAMU kwa maana ya ladha ya mbususu ni sifuri. Nyingi ya hizi pisi kali...
  5. TheChoji

    Shaq awaambia watoto wake watafute mali zao

    Sisi nchi za dunia ya tatu tunazidi kuwa masikini kwasababu ya kudhani kwamba baba yako akiwa na mali, basi mali hizo ni zakwako! Badala ya kila mtu kufanya kazi kutafuta mali zake, tunakaa kukodolea macho mali za wazazi. Mimi nna rafiki yangu mzungu ke alikua anataka kununua apartment. Baba...
  6. TheChoji

    Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

    Ndio iko hivyo. Focus ni kupata kodi na kuendelea kubaki madarakani.
  7. TheChoji

    Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

    1. Kodi 2. Kura Kitu chochote kinachogusa mambo hayo mawili serikali hutokaa uione ikiingilia kati.
  8. TheChoji

    Hivi inawezekana kumaliza chuo bila kuingia kwenye mahusiano

    Chuo ndio sehemu ya kujifunzia mambo mengi ya kimaisha ikiwemo mahusiano. Watu wengi hudhani chuo unaenda kusoma mavitabu na mavitini tuu. Ukiwa chuo ndio muda wa kukomazwa kimahusiano, kupigwa matukio, kujifunza tabia za watu mbalimbali, kutembelea viwanja mbalimbali vya starehe nk. Unatakiwa...
  9. TheChoji

    Mpenzi wangu analalamika simtafuti

    Hayo mapenzi ya kweli yatoke wapi usawa huu? Mimi mwezi jana nilikula kibuti toka kwa mchepuko wangu niliedumu nae zaidi ya miaka mi3. Kisa na mkasa tulienda kukulana, then baada ya hapo ikapita kama siku 3 sijamtafuta kwa simu wala meseji yoyote. Siku iliyofuata nikapokea meseji ya lawama...
  10. TheChoji

    Mpenzi wangu analalamika simtafuti

    Mzee wa kupambania unachosahau ni kwamba katika jamii yetu hasa sisi watanzania hao wanaume wajinga ndio majority kwahiyo wala usishangae.
  11. TheChoji

    Nasubiri awe mume ndio nimpe tunda

    Kama anakuja kwa ajili yako, na wewe huna mpango wa kumpa papuchi, mwambie asije! Naongea kwa uchungu maana kuna demu nilishawahi kumfungia safari kutoka arusha mpaka dar halafu nafika dar demu hatokei. Aisee nilikaribia kupata heart attack kile kipindi we acha tu.
  12. TheChoji

    TANZIA Sophia Leone afariki dunia

    Mimi ninachojua asilimia kubwa kabisa ya wanawake wanaocheza porn ni makahaba, wala unga, na watu walioshindikana kwenye familia zao. Ila Jasmine Webb jamani yule mtoto ananyumbulika 😋
  13. TheChoji

    Jojo anazeeka sasa, kweli ujana haudumu

    Of coz kuna wachache wenye "udongo mzuri" ila majority wakishagonga 30 unaona kabisa wanakua wazee. Mimi kuna mdada namfahamu atakua ana 50+ sasaivi ila akivaa uniform za sekondari anapokelewa 😀 na ukikutana nae lazima mimacho ikutoke
  14. TheChoji

    Jojo anazeeka sasa, kweli ujana haudumu

    Umri wa mwanamke ku shine ni miaka 18 mpaka 25 kama hajazaa. Hapo ndio mwanamke anakua kwenye peak kwa maana ya sura, umbo nk. Baada ya hapo ndio wanawake huanza kunenepa, sura kushuka, macho kutumbukia, makunyanzi nk. Kwa upande wa mwanaume, umri wa ku shine ni miaka 20 -60+ kama akijiweka...
  15. TheChoji

    Jamii inaheshimu kazi yako, siyo sura

    Hasa kwa mwanaume
  16. TheChoji

    Status za WhatsApp zinatuonesha jinsi tulivyo na tunajichora tu kwa wengine

    Mimi kuna dada mmoja nilikua namheshimu sana. Cha ajabu juzi nimeona kaweka status anaimba kile kipande cha wimbo wa zuchu kinaishia na "hata mumpe mku.." kwakweli nimemtoa maanani kabisa na namba yake nimefutilia mbali!
  17. TheChoji

    Ifike hatua tuache chuki dhidi ya watoto wa kishua na vigogo wakati makosa ni ya wazazi wetu walichezea maisha

    Huwezi kusema mzee wako alichezea maisha wakati yeye akiwa na umri kama ulio nao wewe sasa, alikua ameshajenga na ameoa! Na wewe bado unaishi kwake.
  18. TheChoji

    Leo nimejuta kupanda daladala

    Hilo daladala mngelipeleka kituoni hakuna mtu kushuka mpaka stori iishe
  19. TheChoji

    Sitorudia tena kucheza mpira

    Binafsi sijawahi kabisa kucheza mpira ukiacha ile mipira ya makaratasi tuliyocheza utotoni. Sasa kuna wakati nilikua naishi karibu na uwanja mmoja ambapo pembezoni mwa huo uwanja kuna kanjia ka kuelekea home. Siku hiyo sina hili wala lile najipitia zangu nje kabisa ya uwanja nikiwa nna mawazo...
  20. TheChoji

    Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

    Baba Levo alishtuka kwamba hawa wameshachemka, ila wao mpaka wanamaliza kipindi hawajashtuka! Ina maana Baba Levo ana akili kuliko hao wadada 😀
Back
Top Bottom