Nchi ya Tanzania ina wanawake 32,000,000. Kati ya hao wote, wewe umeamua kuchagua mwanamke mmoja ambae kwa maelezo yako ni "jeuri sana,kiburi,dhalau na mdomo wa kutosha" na ni malaya pia. Ina maana hao wanawake wengine 31,999,999 we hujawahi kuwaona au mwenzetu we ni kipofu? Jitathmini.
Kuridhika mkuu.
Kila nikiwaza nikomae sana naona ah.., yanini? Wakati hapa nilipo mbona freshi tuu maisha yanasonga mdogo mdogo?
Basi ndio tu nabaki hapo hapo.
We usinitanie..!
Mi kwa uchumi wangu jinsi ulivyoimarika kwa sasa nina uwezo wa kununua bidhaa yoyote ya Apple bila kupepesa macho..!
Mfano Apple juice, apple moja nk
Hahahaa... umenikumbusha jamaa yangu kaoa mmachame. Daah kuna siku kala kelbu, hajakaa sawa kala mtama jamaa chini 🤣 Mimi niko nawaangalia tu sikutaka kuingilia
Wanawake wazuri hua wana tatizo kubwa sana la kisaikolojia. Wao hudhani kwamba uzuri wao ndio kila kitu, hawana tena haja ya kuwa na heshima, usikivu nk. Ndio maana wengi utakuta hata kitandani hafanyi chochote manake anaamini uzuri wake tu unatosha.
Na kiburi chao kinatokana na ile kuona...
Hapo kwenye pisi kali kuwa tamu naomba nipingane na wewe mkuu.
Uzoefu wangu ni kwamba pisi kali nyingi ni nzuri kuzitazama kama ulivyosema iwe inapitapita uchi au ndani ya lingerie/night dress nyepesi. Ila kwa suala la UTAMU kwa maana ya ladha ya mbususu ni sifuri.
Nyingi ya hizi pisi kali...
Sisi nchi za dunia ya tatu tunazidi kuwa masikini kwasababu ya kudhani kwamba baba yako akiwa na mali, basi mali hizo ni zakwako! Badala ya kila mtu kufanya kazi kutafuta mali zake, tunakaa kukodolea macho mali za wazazi.
Mimi nna rafiki yangu mzungu ke alikua anataka kununua apartment. Baba...
Chuo ndio sehemu ya kujifunzia mambo mengi ya kimaisha ikiwemo mahusiano. Watu wengi hudhani chuo unaenda kusoma mavitabu na mavitini tuu. Ukiwa chuo ndio muda wa kukomazwa kimahusiano, kupigwa matukio, kujifunza tabia za watu mbalimbali, kutembelea viwanja mbalimbali vya starehe nk. Unatakiwa...
Hayo mapenzi ya kweli yatoke wapi usawa huu?
Mimi mwezi jana nilikula kibuti toka kwa mchepuko wangu niliedumu nae zaidi ya miaka mi3. Kisa na mkasa tulienda kukulana, then baada ya hapo ikapita kama siku 3 sijamtafuta kwa simu wala meseji yoyote. Siku iliyofuata nikapokea meseji ya lawama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.