Kwa mazingira ya kisiasa ya sasa nchini ni kujidanganya kuwa kiongozi wa upinzani anaweza kuwa Rais kupitia njia ya kura. Kwa hiyo yeyote aliyetarajia kuwa Dr. Slaa angekuwa Rais ama hayafahamu vizuri mazingira halisi ya kisiasa au anajidanganya kwa kujipa matumaini 'hewa'. Haiwezekani kuwa Rais...
Hii tabia ya viongozi wa CHADEMA kuvaa kama mgambo itawapunguzia kura....kwa mwananchi wa kawaida .... mgambo ni alama ya unyanyasaji kutokana na wanavyotumika ingawa lengo la kuanzisha mgambo lilikuwa zuri.
Biashara ya utumwa ilifanyika miongo kadhaa iliyopita (inasemekana bado inafanyika baadhi ya maeneo duniani) na kusababisha watu weusi kuenea maeneo mbalimbali duniani mfano visiwa vya Carrebean, Amerika ya kusini, Marekani na kwingineko.
Nimesoma kuwa watumwa wengi kutoka Afrika Mashariki...
Wakazi wa Kipawa wamwambia DC Ilala hana adabu
WAKAZI wa Kipawa jijini Dar es Salaam wamemsikitisha Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Evance Balama baada ya kumwambia kinagaubaga kuwa hana adabu.
Wananchi hao, walitoa kauli hiyo juzi ofisini kwa mkuu huyo baada ya wananchi hao, kuandamana hadi ofisi...
Source: Gazeti la Mwananchi
NILIWAHI kuelezea ukigeugeu wa CCM wanapokuwa jukwani na wanapokuwa kwenye vikao vyao kwenye safu hii. Wanapokuwa jukwaani hujifanya watu wa watu na wanapokuwa kwenye vikao vyao hugeuka kuwa adui wa watu.
Jamaa hawa wanapokuwa jukwaani huzungumza kama...
Nimekuwa najiuliza hivi CCM na watu wake wako tayari kukubali sehemu moja ya muungano kutawaliwa na serikali ya upinzani? Ikitokea hali kama hiyo ndo itakuwa mwisho wa muungano? Nadhani CCM wako tayari kuzuia hali hiyo isitokee kwa gharama yoyote ile. Wana JF hii imekaaje?
Former Beijing airport boss executed in China
BEIJING (AP) The former head of Beijing airport's management company was executed Friday following his conviction on corruption charges, state media reported, making him the latest figure brought down in China's battle against widespread graft.
An...
Ministry in dubious exam deal
THE Ministry of Education and Vocational Training last year awarded a private company a 72.6m/- deal to print primary school leaving certificates contrary to a government directive. As a result, the Prime Minister, Mr Mizengo Pinda, has since underscored that all...
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea Taarifa kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali( CAG),Ludovic Utoh kuhusu mapato na makusanyo ya kituo cha mabasi cha Ubungo jijini Dar es salaam, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma Jana.Mheshimiwa Pinda alimuagiza CAG kufanya uchunguzi huo...
Komba amzimia Waziri Nagu
Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba amemsifu Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Dk Mary Nagu, kuwa ana sura nzuri na anauzika.
Mbunge huyo amelieleza Bunge leo kwamba, yupo tayari kutunga wimbo wa kumsifu Waziri huyo.
Kabla ya kutoa sifa hizo...
MWANASIASA mkongwe nchini, Musobi Mgeni ameibuka na kukishambulia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kuwafanya wasomi kuwa ni watumwa.
Akizungumza na Mwananchi Jumapili, jana mkoani hapa, mwanasiasa huyo alisema kuwa CCM imewapumbaza hata wasomi kiasi cha kuwafanya hata wasithaminike kwa...
JESHI la Polisi limepokea msaada wa simu 100 kwa ajili ya kuwasaidia polisi waliopo wilaya za Tarime na Rorya, mkoani Mara kutekeleza majukumu yao ipasavyo katika maeneo ya mapigano yanayotokea mkoani humo. Msaada huo wa simu ulitolewa jana na mfanyabiashara wa simu za mkononi, Zahoro Khamisi...
Milingo slaps Catholics in the face
Eight years ago, he annoyed the Catholic headquarters in the Vatican by breaking the code of celibacy. On Wednesday, controversial Archbishop Emmanuel Milingo arrived in the country and slapped the Catholic Church in Kenya in the face.
At a secluded centre...
Safari ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe nchini Hispania katika mkutano wa kuwakilisha shirika lisilo la kiserikali la Majirani Wasio na Mipaka (NWB) la mjini hapa, imezua mtafaruku mkubwa miongoni mwa viongozi na wanachama wa shirika hilo. Mtafaruku huo unatokana na kitendo cha baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.