Mimi napenda kulipongeza Jimbo la Kawe kwa mambo mbalimbali ya kimaendeleo
walivyojipanga baada ya Uchaguzi Mkuu 2015. Kuna madiwani wachapa kazi sana wakiongozwa na Mmbunge wao Rais wa Marais Kamanda Halima Mwana wa Professor James Mdee. Rais wa marais ameshazungukia kata mbalimbali za Jimbo...
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Kamanda Freeman Aikael Mbowe atakuwa na Mkutano Mkubwa siku ya Jumapili tarehe 24/05/2015 kuanzia saa 8.00 mchana hadi 12.00 jioni kwenye uwanja wa Tanganyika Packers Kawe Dar es Salaam.
Atazungumzia maswala mazito ya Kitaifa yakiwamo
1...
Jamii forums ni jukwaa kubwa sana na maarufu hapa Tanzania.
Linakutanisha watu wa kila namna kwenye eneo wanalolipenda. Natoa ushuhuda wa watu waliokutana huku JF kwa muda wa mwaka mmoja uliopita na sasa wanapanga mipango ya ndoa yao na jinsi itakavyokuwa.
Taarifa walizonipatia ni kwamba...
Mbunge wa Mtera ndugu Livingstone Lusinde au Kibajaji amekuwa akisema mara kwa mara kuwa hajasoma kwa sababu wazazi wake walifariki wakati yeye akiwa darasa la nne. Kwa ufupi shule ya Msingi ndiyo ikawa mwisho wa elimu ya Kibajaji.
Mawazo au malalamiko haya ya kibajaji hayana mashiko kwa sasa...
Shule nyingi za serikali hazina chakula hivyo zimesababisha kufungwa mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri. Shule hizi ni za Tabora ...mfano shule ya sekondari Kazima wamefunga shule leo baada ya serikali kushindwa kuwalipa wazabuni kwa muda sasa ambapo wanadaiwa zaidi ya millioni 300kwa shule moja...
Kuna tetesi kwamba Profesa Mujinja wa Muhimbili University atagombea Ubunge wa Musoma Mjini kupitia CCM. Marafiki zake wa karibu wamenitonya kuwa alishawishiwa na wasomi kadhaa wa Musoma akiwamo Prof. Muongo. Na zoezi hili la kumshawishi limefanyika kipindi cha mapunziko ya krismasi na mwaka...
Wenyeviti wote wateule wa serikali za mitaa wataapishwa siku ya Jumanne tarehe 06/01/2015 kuanzia saa 1.30 asubuhi pale Land Mark Hotel Ubungo. Pia watapewa semina ya jinsi ya kuongoza mitaa yao kwa kufuata sheria na taratibu watakazopewa. Pia watapewa mihuri na vitendea kazi vingine kwa ajili...
Jana na Leo katika taarifa ya habari ya ITV imemuonyesha mama mmoja mwenye watoto sita wadogo, wakiwa ni mapacha kwa uzao wa mara tatu yaani kila alipojifungua alikuwa akizaa watoto wawili.
Katika maelezo ya huyo mama anasema kwamba mumewe amemuacha kwa sababu anazaa zaa sana ovyo. Mama huyu...
Kuna tetesi kwamba ndugu Nape katibu mwenezi wa CCM atapelekwa India baada ya mkono wake kendeleea vibaya bila mafanikio yoyote. Wanadai kuwa mkono huo umeanza kuoza kwa ndani hivyo inahitajika matibabu ya haraka nje ya nchi kwani akicheleweshwa mkono huo unaweza kukatwa. Kama tetesi hizi ni za...
Nikiwa napita pita mitaa ya mji wa watu nilikutana na kisa kimoja.
Nikiwa napita mitaa fulani fulani nikakutana na mkusanyiko wa watu kama kumi hivi na mwanamke akiwa ameshikilia kiuno anachonga ile mbaya. Nikasogea karibu ili nijue kulikoni. nilivyosogea nikasikia huyo mdada akimsema jamaa...
Katika kipindi cha Kipimajoto ITV leo Ijumaa, mada inayohusu "kuongezeka kwa matumizi mabaya ya mawasiliano kwa njia ya mitandao je nini kifanyike?" Afisa Uhusiano wa TCRA Bwana Innocent Mungi akichangia moja ya maoni yaliyotolewa na mtazamaji wa ITV ambaye alikuwa analalamika kuwa vyombo vya...
Jumapili iliyopita nikiwa nimejipumzisha nyumbani kwangu mara akatokea rafiki yangu ambaye ni jirani yangu, akaniomba niende kwake nikamsaidie kusuluhisha kwani kuna kasheshe limetokea kati yake na mke wake.
Pia huyu mkewe ana undugu na mimi kwa mbali hivyo tunaheshimiana kama kaka na dada...
Nimesikiliza taarifa ya habari kupitia kituo cha ITV leo saa mbili, kuwa jeshi la polisi limezuia mikutano ya UKAWA ndani ya mkoa wa Kigoma kwa muda wa siku tatu sasa. Anayejua nini kilichopo nyuma ya pazia atujuze tafadhali.
Kuna malalamiko mengi yanatoka kwa wananume wenye wake au wapenzi wao ambao wanajua kuendesha magari kwamba wamekuwa kiguu na njia.
Jana nikiwa sehemu fulani, nikiwa na jamaa fulani tukawa tunapiga story mbili tatu hivi. Huyu jamaa akaniambia kuwa mke wake tangu ajue kuendesha gari mke wake...
Katika kura ya maoni iliyoendeshwa hapa JF kwa siku mbili yaani tarehe 3 - 4/5/2014 kuhusu nani anakukubalika zaidi kati ya UKAWA au CCM kwa wananchi juu ya katiba mpya. Kura zimehesabiwa na matokeo ya kura ni kama ifuatavyo;
CCM wamepata kura 0 = O%
UKAWA wamepata kura 100 = 100%
Kwa matokeo...
Utangulizi
UKAWA ni Umoja wa kutafuta Katiba ya Wananchi ambapo inaundwa na vyama vya Chadema, CUF na NCCR Mageuzi. CCM ni chama cha siasa kinachotawala hapa Tanzania.
UKAWA na CCM wamevutana na wanaendelea kuvutana kuhusu mchakato wa katiba mpya. Mabishano ya UKAWA na CCM yamefikia mahali...
Wana MMU,
Kuna dada mmoja tunafanya naye kazi, sasa cha ajabu ananilazimisha niwe namwamkia shikamoo wakati nimempita na kama miaka miwili hivi, nikiacha kumwambia shikamoo ananuna siku nzima na wala hataki kuongea na mimi, mara ya kwanza nilidhani ni utani kumbe anafanya kweli. sasa mimi kwa...
1. Utangulizi UKAWA ni Umoja wa Kutafuta Katiba ya Watanzania, ambayo imehasisiwa na vyama vya NCCR-Mageuzi, CUF na CHADEMA. Katika kuwepo kwake UKAWA imewafungua wananchi wengi macho kuhusu katiba iliyopo na mapungufu yake.Kujitoa kwa UKAWA kwenye bunge la katiba inaashiria kwamba katiba...
Baada ya kutamba sana kwenye miziki ya bendi za dansi hapa nchini, Muumini mwijuma amehamia kwenye taarabu. Ikumbukwe kuwa Mwijuma muumini alianza kujulikana sana akiwa na Nchinga sound mpaka akajipachika jina la kocha wa dunia, baada ya hapo akachuliwa na bendi ya African Revolution iliyokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.