Search results

  1. Nzokanhyilu

    Utawala wa jk-wawakera wazungu !

    Nakubaliana na Haki, hizo comment hazijaandikwa na mzungu. 1. Jina la Brunwick halijakaa Kiingereza kabisa. 2. Walioongezea comments baada ya Brunwick wamechemsha. Comment ya Brunwick mwanzoni was working a treat, but the propaganda has gone overdrive. The comment from Brunwick was too good to...
  2. Nzokanhyilu

    WITH AN EAGLE’S EYE: Angola disgracing Africa yet again; Is Tanzania heading that Way?

    Mwandishi is on the right track, lakini hayuko makini. Ingawa Dos Santos na familia yake ni vibaka wakubwa, Angola does not make that amount of money from oil per day. It is like attributing all the minerals produced from the mining companies in Tanzania to the Tanzanian government. In Angola...
  3. Nzokanhyilu

    Waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava ni nani??

    Poa, kwahiyo ni sawa kusema kwamba Sugu anafunika wote??
  4. Nzokanhyilu

    Waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava ni nani??

    Legendary kivipi? Kwanini Sugu ana impact zaidi?
  5. Nzokanhyilu

    Waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava ni nani??

    Heri ya mwaka mpya wajameni. Naomba kuuliza, nani waanzilishi wa Bongo HipHop/Flava? Mimi nakumbuka mara ya kwanza nasikia tapes za Saleh Jabri akirap juu ya beats za kama Vanilla Ice etc. Tukimwacha huyo, kati ya Kwanza Unit na Sugu, crew gani "imeanzisha" na kuendeleza Hip Hop? Nauliza hivi...
  6. Nzokanhyilu

    WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Mkuu, you guys need to slow your roll. We ukiambiwa Nigeria wana proven 187 trillion cubic feet of reserves, na unavyoshupalia "potential" ya Tanzania ya 200 trillion cubic feet, je ukiambiwa...."potential" ya unproven gas reserves (only) ya Nigeria ni 600 trillion cubic feet, utajisikiaje na...
  7. Nzokanhyilu

    WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Tatizo wewe ni kilaza tu, ili hujajishitukia lol. Are you comparing apple and pears? LOL. Note, nowhere in my posts have I written about any other units other than cubic feet!! Soma tena. Zitto is talking trillion cubic feet. I am talking trillion cubic feet. The figures given above by Mdondoaji...
  8. Nzokanhyilu

    WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Haya, we kua na uhakika tu. While you are at it, please learn to convert "cubic meters" to "cubic feet" and vice versa! probable resources + possible resources + speculative resources = potential Recoverable? Depends, typically can be 20% to 60%. South Pars/North Dome Gas-Condensate field...
  9. Nzokanhyilu

    WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Zitto, potential is not proven. Shell has been sitting on their blocks for many years before even these Canadian and Australian companies started popping their noses offshore East Africa. Yes, it looks like offshore Tanzania is gas prone (taking into account the finds in Mozambique). Small...
  10. Nzokanhyilu

    WATCH: Oil explorations & projects in Tanzania

    Mkubwa, usipotoshe watu; Nigeria ina karibia 200 trillion cf. Qatar over 900 trillion cf! Tanzania ni moja ya nchi zilizo mkiani!! Kuna nchi zaidi ya hamsini zinaifunika Tanzania. Tanzania so far kiwango chao ni chini ya hata 0.01% of proven world reserves, wakati Qatar wana 25% hivi.
  11. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    Poa, on this note...shukrani kwa mchango wako.
  12. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    LOL, you have tried hard to manouvre about and dodge the questions i have posed you, glad you have come around. So now that we agree that Addis Ababa and Nairobi are slightly more industrialised (wow, it must be a beauty contest then huh?), it must be the reason that they attract more...
  13. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    No, the moral of the story is, a country needs to be industrialised to enable more people to afford electricity! The RSA's black goverment re-distribution programme rides on the whiteman's work!! Maybe you should give an example of a black industrialised nation (not RSA) with the research...
  14. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    First of all, I am a man. I suppose ESKOM was started by black South Africans right? So sending me to the ESKOM website is what you call research? Besides a few minor typos and this paper being old, you might learn alot. Electricity Access to the Poor: A study of South Africa and Zimbabwe...
  15. Nzokanhyilu

    Kentucky Fried Chicken (KFC) opens in Nairobi on Friday

    Lol, and this just proves that you can't win an argument with a dedicated addict......!! Ukute Steve Dii anakujibu huku akisikiliza "Rehab" - Amy Winehouse (R.I.P).
  16. Nzokanhyilu

    Kentucky Fried Chicken (KFC) opens in Nairobi on Friday

    Unauuuuuuuuuuuuuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!! Ila watu hawasikii....lol. Press F5!
  17. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    1. You dissed the plans for Ethiopia's progression, which I was highlighting (subtly) in relation to Tanzania. By you dissing Africa (which you are right), you are indirectly comparing all African countries. Yet you go ahead and name drop RSA, while you know damn well that it is the work of the...
  18. Nzokanhyilu

    Ethiopia to sell power to East Africa

    I see your point (the ratio of what is produced in relation to the population may just exceed the one for Tanzania), but they are progressing in comparison to Tanzania, also note, these guys have got massive potential of gas reserves. - How are you calculating the usage of that electricity in...
  19. Nzokanhyilu

    AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

    Mkubwa, you are right on the money, soma hii article kuhusu Ethiopia "Ethiopia to Sell Electircity to East Africa"
  20. Nzokanhyilu

    AL JAZEERA NAIROBI? why not DAR ES SALAAM?

    Kampuni ninalo fanya kazi, wana mpango kufungua branch Afrika Mashariki, kwenye hili sina uzalendo wa kushauri kuwekeza Tanzania. Sababu kubwa ni tatizo la umeme.
Back
Top Bottom