kuwa mpinzani ktk nchi za Afrika ni kujitoa muhanga maisha yako!! so tundu lisu kishajitoa muhanga wala usishangae coz analala lupango kwa ajili yetu wanyonge!!
Kweli kutokana na majibu ya mh. mbowe nimeamin kuwa cdm ni taasisi yenye utulivu mkubwa sana ktk masuala nyeti kama haya! kila mtu alikuwa anataka kila kiongoz atoe taarifa juu ya kupotea kwa ben na wengi kuhoji why mbowe yupo kimya? kumbe chama kina watu wake wa kutoa taarifa na si kila taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.