BAWASIRI
kama unataka kupona kabisa na kwa uhakika just call this number
0755780631,0620448976
Usipopona unarudishiwa hela yako...na ni ndani ya siku mbili unaona mabadiriko.
Nimejifunza kitu, mimi kama mjasiriamali mara nyingi wanapotangaza hali ngumu ya maisha ndio nagundua pia fursa huwepo nyingi sana, na watu ambao wapo serious wanapiga hatua.
Umewahi kutazama kwa upande wa pili kuliko kubaki unalalamika?
Je, hapo ulipo ni mahali sahihi hujawahi kufikiria...
Wakati tunaingia kwenye mahusiano tunahurusu sana moyo kuchukua nafasi kubwa kuliko akili zetu,matokeo yake ni pale unaeza kuta watu wanadiriki hata kusema kuwa mtu kalishwa limbwata,ila ukweli ni kwamba mtu huyo anatumia moyo sana badala ya akili...
Ukweli unaoumiza ni kwamba wengi wetu tupo...
Wadau nawaletea huu uzi kwa mambo mawili,kwanza elimu na kujua kinachoendelea kwenye ulimwengu wa magari,wajuvi wa mambo tunaomba mtuletee mnachojua na fact kamili ikiwa na picha itapendeza zaidi.....
Kuna hii kitu inaitwa Tecno CA7 imesimama balaa, mwanzo nilikuwa nawaza kununua note 5 nilipokutana nayo aisee imenipunguzia mambo mengi sana.
Kuanzia gharama kwa huku imesimama laki tano na 30,ina ram 3gb, rom 32gb, camera 20mp inakaa na chaji kwa watumiaji wenye fujo. Very nice phone ever...
Leo kila kitu kina changamoto,familia nyingi kwa asilimia kubwa zinapitia wakati mgumu,Familia pia wakati mwingine unaweza kudiriki kusema ndio chanzo cha matatizo yote maana ndio source ya awali kabisa ya kila kitu kwenye kila jambo,mf mapenz,mahusiano,maamuzi,misimamo nk.
Jambo jingine ni...
Vijana WEngi tunaingia kwenye mahusiano bila kujiuliza haya maswali yafuatayo,
1.kwanini naingia kwenye mahusiano,ni mkumbo,au wakati unaenda mbio(umri),au shinikizo toka kwa jamii(wenzio wameoa we unasubiri nini).niamini mimi wengi wanaangukia hapa...
2.huyo utakayeolewa naye atakusaidia...
Nimejaribu kufuatilia sana kwa muda mrefu automatically nimejikuta kama nafanya research. Watu wengi mawazo yao kabla ya kuwa na hela ni mazuri kuliko akiwa tayari na Pesa.
Pengine sioni ajabu kuona wengi wetu tunaishia somewhere na kurudi nyuma kama ilivyokuwa mwanzo.
Kwa experience yako...
Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..
Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au...
wadau nauza kiwanja kipo njombe town mahali panaitwa ngalanga jirani na wende sekondari,kina ukubwa wa mita 30 kwa 30,mita 300 kutoka kwenye itakayo kuwa barabara ya magari makubwa,hakijapimwa ila kipo mahali salama,pia ni kilometre 2 kutoka stand mpya...Njoo Pm kwa mazungumzo zaidi.
Sent using...
Kuna kitambo sana tangu nitingane na mwanamke niliyezaa nae, sasa nowdays kumekuwa na tumawazo twa kutamani kuwa na mtu wangu ila sio wale niliowahi kuwa nao najitakia mpya, charming, anajua kazi za mke nk.
Unajua vile unajaribu kuimagine halafu unakuta nyumba inapilika kila kona, kingine...
Nimekuwa nikiuliza watu wengi maswali kuhusu kujiajiri na kuajiriwa....most of the answers imekuwa kujiajiri ndio "mchongo",sasa mbona sioni jitihada za watu kutaka kujiajiri.....halafu inakuwaje watu wanaongea sana kuliko vitendo!?
Wanaishia kuwasifia waliojiajir wakati wao wanakazana kuomba...
Dah ndugu zangu hili jambo lilianzaga kama utani na wala sikuwahi kulitilia maanani,nimekuwa nikikaa jirani na wanawake wa watu wanakuwa wananipenda sana....
Kama mara tatu tofauti nimepitiwa nimetoka nao,lakini mara mbili nyingine nilifichwa baadae nikaja kugundua mwenyewe kuwa ni wake za...
DARASA HURU.
KUMJALI MTU NA KUMTHAMINI NI MUHIMU KULIKO HATA KUMPA PESA
“Mkeo amefariki Msiba uko hapa nyumbani?” Denis alipokea ujumbe mfupi kwenye simu yake, kuangalia ulitoka kwa Mama yake mzazi. Nguvu zilimuishia, alikua akiongea na mteja ofisini kwake lakini sauti ilikauka.
Bila kujijua...
Nahitaji rafiki wa kike, hii inaweza isilete maana nzuri kwamba pengine sipo serious, ila kuna wakati unajikuta hauna neno jingine la kusema zaidi ya hilo.
And this is very serious, tangu nimekorofishana na x-girl nimejikuta nimekuwa mzito sana kuwa na urafiki ma wanawake, imepelekea kusahau...
Wamama mlioajiri kina dada wa kuwasaidia kazi za nyumbani mnawalipaje mshahara??? Unampa kwenye bahasha, cash, unatuma kwao au unafanyaje??? Nimeona hii topic sehemu nikasema tupeane uzoefu.
Sasa dada siku kacheleweshewa akamchenjia bosi wake kuwa amechoka na kazi anataka arudi kwao hivyo...
Mapenzi buana...hahahhaha ngoja nicheke kwanza, yaani wakati unamfuatilia ili awe mpenzi wako unatumia nguvu sana, ukikaribia kukata tamaa mara nyingi ndio huwa tunafanikiwa, tukishaingia kwenye mahusiano kwa muda fulani mambo yanaenda sawa sana, baada ya hapo mnazoeana, hapa ndio hasa penye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.