Wakuu natumia Samsung smart tv....But nafeli katika kustream vitu live kwa mfano mpira...Je kuna njia yoyote nyepesi itaweza nisaidia...nimejaribu firstrow sports through web browser but sijafanikiwa. Apps zilizopo kwenye Smart Hub je zina msaada wowote katika hili.
Wakuu nasikia hilo n tatizo common kwa laptop aina ya pavilion...swali langu je inaweza tengenezeka na kama inawezekana je gharama yake n sh. Ngap...msaada wakuu maana boom limekata ,assignment,projects kibao now then pc imezingua....what this? 0712441899 kwa msaada zaidi wakuu
kinaitwa chuo kikuu ardhi na sio chuo cha ardhi...kipo adjacent na mliman(udsm) from ubungo njoo darjan kama unaelekea mwenge kuna kituo cha daladala panda gari za chuo then shuka ardhi..or ukitoka mwenge/makumbusho panda gari za chuo shuka ardhi utakuwa umefika...official website ya chuo ni...
new laptops
HP ELITE BOOK 8440P
CORE i5
processor speed 2.4ghz
RAM 4gb
hard disk 600gb
webcam.
bei ni tsh.750,000 kumbuka hii ni mpya.
pia kuna Toshiba satellite pro S500
core i5
processor speed 2.4 ghz
ram 4gb
hard disk 320
webcam.
bei tsh 630,000
shukrani.
Samsung brand
4gb ram
processor 2.4ghz Core i3
hard disk 500 gb
battery time idle 4 hours
window 8 installed
1 year warranty niliyopewa nakukabidhi coz ina mwezi mmoja tuu tangu ninunue
bei Tsh520,000
ni pm kwa mawasiliano zaidi nipo ardhi university....mlimani adjacent
Iwe na ram 4GB..! Iwe na uwezo wa ku-render programes/softwares zote za 3D..! programes kama AutoCAD, ArchiCAD ziwe applicable..!kuhusu aina iwe ni easy incase of hardware maintanance
Ukipenda paitee uclas...! Chuo kinafunguliwa tar 7/oct/2013 for first year orientation na tar 14/oct..! Kwa continous! yoyote anajua tarehe nyinine tofauti na hizo hapo juu
Shule ni nzuri ina huduma muhimu kama maji, hospital, walimu na umeme, coz imezungukwa na wamissionary wa shirika la benedictne, aisee nimegraduate pale 2013 na nimefaulu, so ila kuna sheria balaaa sababu mkuu wa shule anasimamia sheria balaa anaitwa Saimon Molega Mongate(double m)!
KAMA UNA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.