Ndugu, nasumbuliwa na Presha yakupanda sana,Swali ni kwamba nimeshafikia stage ya kumeza dawa Je? nikipima Presha ikiwa normal bado niendelee kumeza dawa?
Poleni sana wafiwa, Mungu wa Mbinguni awatie nguvu katika msiba huu mkubwa. Tuendelee kumpa Yeye Sifa na Utukufu, na huu udhalimu tunaofanyiwa umekaribia mwisho. Mungu awatie nguvu Makamanda, ushindi upo upande wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.