Aisee Muzee unagusa maslahi ya watu:Hili suala la kodi si mchezo baba ukijifikiria haka kamshahara ketu ka kima cha chini harafu kanakatwa kodi,we acha kabisa harafu kodi zetu hawa jamaa wa TRA wanahonga mademu magari inaudhi yaani ni afadhari hii kodi ya mshahara ifutwe wandugu..Rais...
Wandugu napenda kuchangia kuhusu hili,
Kuna MC mmoja tulimbook maarufu kama Double K naye ni TAPELI Alishawahi kulamba advance yetu na siku za mwisho akaja kuchukua full na kwa maandishi kabisa lakini cha kushangaza siku ya tukio alituletea MC mwingine sijui mjomba wake aisee yaani alituboa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.