Search results

  1. Haemoglobin

    Makonda: Mchaga kusaidia walemavu na yatima ni jambo gumu sana

    Sio kweli mheshimiwa,wachaga wanatoa ajira mamilioni hapa nchini,pia kwenye kulipa kodi ni walipaji wazuri ambayo inatumika kuleta maendeleo nchini,pia ni wachapa kazi haswa
  2. Haemoglobin

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Shikamoo mkuu mleta uzi,wewe ni mchunguzi hasa.
  3. Haemoglobin

    Kutoka Maktaba: TAKUKURU yataja mtuhumiwa wa sare hewa za bilioni 40

    Lakini mheshimiwa waziri alisema sare ziko kwenye makontena..
  4. Haemoglobin

    Kati ya Tulia Akson na Jenista Mhagama tumuamini nani?

    Kusifu na kuabudu ni jambo jema
  5. Haemoglobin

    Ajira mpya 44,807 Serikalini zaja 2019/2020, Watumishi 290,625 watapandishwa vyeo, Mishahara mipya kitendawili, Uhakiki kuendelea.

    Sawa mheshimiwa, mwaka wa uchaguzi umekaribia nasubiri ahadi nzuri nzuri
  6. Haemoglobin

    Polisi saidia kumkatamata bwana huyu kwa kumpa mimba mwanafunzi

    mkuu kwani seeikali imesharuhusu mwanafunzi kurudi shule baada ya kujifungua?
  7. Haemoglobin

    Polisi saidia kumkatamata bwana huyu kwa kumpa mimba mwanafunzi

    Kama ameshapata mimba utawasababishia binti matatizo sababu itabidi binti alee mtoto bila baba wa kumhudumia,atateseka sana
  8. Haemoglobin

    Mbunge kukopa kiasi cha milioni zadi ya 600Tzs ndani ya miaka 5!!

    Je wengine madeni yao yakoje mkuu? Je kukopa ni kosa?
  9. Haemoglobin

    Serikali yapiga Marufuku gari zote za abiria kusafirisha vifurushi na barua

    Mheshimiwa biashara huria hamna tena siku hizi?
  10. Haemoglobin

    Apps 10 ambazo lazima utumie kwenye simu yako

    My must have 1.Lithium for reading books (epub format) 2.Strava for tracking my workouts, Running and Cycling 3.Boom for music and podcast listening. 4.Uc browser.For Internet 5.Anybook. For downloading and reading e-books 6.Day book. for recording my petty revenue and expenses. 7.Cam scannner...
  11. Haemoglobin

    Mbunge wa Simanjiro, James Ole Millya(CHADEMA) ajiuzulu Ubunge na kujivua uanachama, ahamia CCM

    Mheshimiwa ungevumilia tu, hadi uchaguzi mwingine. Kuokoa kodi za wananchi zitazotumika kurudia uchaguzi
  12. Haemoglobin

    Kwanini tunazaliwa masikini na kufa masikini?

    All that happens to a person is the result of subconscious programming from childhood
  13. Haemoglobin

    Mbunge wa Buyungu, Kasuku Bilago Samson(CHADEMA): Serikali shule binafsi zinawahusu nini, ni wivu tu

    Kwa maoni yangu,naona hamna shida mkuu. Iwe huria kila mtu amsomeshe mtoto wake shule anayotaka
  14. Haemoglobin

    Mauaji ya Akwilina: DPP afunga jalada la kesi baada ya Jeshi la Polisi kushindwa kubaini mhusika wa mauaji

    Karma will serve justice for you Akwilina, May your Soul Rest in eternal peace
  15. Haemoglobin

    Hakuna aliyeweza kujibu hoja ya Zitto Kabwe

    Mkuu ni kwanini mtu akihoji vitu vya msingi anaonekanza mpinzani?
Back
Top Bottom