Hbr!natafuta mwny kujishughulisha na biashara ya baking esp cakes ili anisaidie kuongeza taaluma ktk hilo hata kwa malipo.Ani-pm au # yangu 0652-753759.Pls help
Jerrytz ni wapenzi kwani hata ktk tuyafanyayo ni ya wapenzi kasoro hilo la kitandani tu.Nahic usipompa ndo atajenga eagerness ya kuwa mke ili aone pia yaliyomo,na pia ataniona nna msimamo na nnafuata andiko la biblia ipasavyo.
Habari wana Jamii Forums.
Tayari nipo kwenye mahusiano na kijana ambaye tunaonyesha dhamira za kupendana sana.Japo tulikuwa katika mahusiano kama miez 6 kwanza ya urafiki wa kawaida tu.Hatimaye tumeanza ya ukaribu zaidi miezi miwili iliyopita.Ananishauri mawazo mazuri, na tupo kwenye harakati...
Burtons mi hoi hapa kila nikirudia kuisoma hiyo topic yake,nafkr unaelewa ninachocheka.I wish angetupia na picha yake ili tucheke zaidi.Some ppo are born to others happy,its a talent!
Ni kweli cwez kwnd kwake kumpikia wala kufua mwenzenu,labda nitumie hz za kumpelekea vitu km bites au nitengeneze natural juice etc.
Je nikiwa namtext msgs za Missing u n.k je napo atanielewa vby?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.