Ni umbali gani kutoka katika kivutio chochote cha kitalii? Hivyo vibanda ni self contained au kuna public toilet and bathrooms? Kuna facilities gani nyingine kwa ajili ya kuhudumia wageni,
mf: majiko, dinning hall, n.k ambazo zinaweza kumpatia mtu mwanga zaidi juu ya eneo? Rates za kulala kwa...
Zinatumika kama mbao za kawaida ila zinafaa zaidi kwa fenicha za nakshi, milango ya mapambo na zina sifa ya kuwa imara kuliko mbao za kawaida. Kama ukitembelea Bagamoyo au Zanzibar, utaona kuna baadhi ya majengo yana milango ya mbao za mnazi yenye miaka zaidi ya 100.
Kwa alie na uhitaji wa mbao za mnazi za size mbalimbali kama:
2x2= sh.3000
2x4= sh.6000
2x8=sh. 10,000
Ziko Kigamboni Tungi, mwenye kuhitaji karibu PM.
Naelewa hilo ila vyenye status hiyo viko vingi na sio huko tu, ninavyo vingine viko Mwasonga navyo viko kwenye status ya offer, kwa hiyo usidhani kuwa ni jambo la ajabu saana.
Kwanini uzungumze sana mkuu, kwani wengine hatuna wateja pia, usiingilie biashara za watu?
Inawezekana huyu jamaa yuko well connected na ana uhakika na kile anachokifanya ndio maana akasema "hahitaji dalali hata kidogo".
Kuuza atauza tu, si unaona anavyoshuka? Akifika kwenye viwango vya...
Mkuu kwa hiyo budget, huwezi kupata Kiwanja Kisota au Kibada
kilichopimwa kwa namna yoyote.
Sikukatishi tamaa ila kwa sasa hizo ni Prime areas, ninacho Kisota cha square meters 1900 kinachouzwa kwa Milioni 250 negotiable. Na hata kisichopimwa
unaweza kujikuta umepata eneo la mradi.
Kama...
Ziko Tungi na Kisota, Umbali wa kama KM 4 na 4.5 kutoka feri.
Nyumba ya kwanza ina vyumba 4 kimojawapo kikiwa ni Self contained, masterbedroom, Sebule, Dining, public toilet na jiko.
Ina tiles na Mapangaboi ndani, maji na umeme vipo na ina parking space ya magari 3 au 4.
Kodi yake ni laki 3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.