Mzee wangu Kwa hiyo wao wanakuja kumiliki upande wa pili Kwa kigezo kipi? Kama inawatosha wao peke yao wabaki nayo lakini na ardhi ya Tanganyika wasiisogelee. Kama Kuna usawa basi wote waruhusiwe kutafuta maisha wapendapo. Pia ardhi kama ni Mtanzania aruhusiwe kumiliki unless mseme Kuna...
Waliwekeza sh ngapi huko? Na hiyo 4 % ya mapato ghafi tunawapa Kwa sababu wao ni wazuri sana au? Maana gharama zote za kugharamia Muungano Tanganyika twazibeba wenyewe. Wao tunawapa ulinzi mpaka wa viongozi wao Kwa Hela za Tanganyika. Pia wabunge wao twawalipa wakati wananchi wao hawachangii...
Kwani hata inanyeshaga mto wa mbu basi? Hiyo ni Karatu mjomba, Yani ikinyesha Mbulumbulu vizuri mbona tutaijua fureshi aisee. Bado tupo kwenye danger zone
Revenge serve no purpose. Both ways need to understand that. The vicious circle of killing will not end untill one side agree to stand down and sometimes, it need a strong heart to admit defeat. I wish the hamas can see how it is causing unnecessary killing. Sit in the table and sometimes...
Ila Kuna watu Wana Hela aisee. Nineshashuhudia ndoa za 40M+ na nimesimamia Moja kama mhasibu ya 30M+ aisee. Inategemea na unaona nani, familia yao ipoje, na wewe binafsi unataka nini.
Kwa sababu inaonekana kama ni lazima aliwe, watoto wetu wa kike wafanyiwe vile vile tunavyowafanyia watoto wa watu wasiokua na msaada. Maana hawezi kukukataa akikumbuka maisha aliyopitia nyumbani. Karma irudishe Kwa kiwango kile kile tulivyowarubuni Kwa wanetu wapendwa. Hapo ndo utakua ah, kumbe...
Niko humu ndani mwaka wa kumi na Moja huu ila najuaga ni fix. Kumbe watu wanajuana kabisa. Hongereni Wana jf. Sehemu iliyonipa experience nyingi mno aisee kuhusu maisha " Tujifunze Kwa maendeleo ya watu".
Mboga aisee. Ini ngikumbuke ngete kaka ekaa dar kwete siku mama alemkabia simu alemkolea kwi. Acha anipigie simu kama kichaa. Mbona simpati fulani wakati naishi km 600 kutoka alipo aisee. Yani msheku uya aleva Sha msukwa kabisa aisee.
Kuna flirt zinaonaonesha huyu anakutaka. Azitumie ila kamwe asimwambie nakutaka. Kwa mwanaume kutongozwa Ina cut off Ile Hali ya kiumbe. Atakuto*ba ndio ila ujue anaweza asikurudie. Hapo unltajiona kama mavi. We want what is expensive and not what is cheap. Don't be cheap but flirt.
Swali rahisi ndugu daktari, je ni haki? Kwa maana ukiwa kwenye kiti Cha kumsaidia Mungu majukumu jitahiji ufanye kama ambavyo yeye angefanya. Tumekula hadharani, sio jinai umenishika ukanibambikizia kesi ya dawa za kulevya. Je shahidi utakayemleta mahakamani atatoa ushahidi aliniona na madawa ya...
Kwani ndugu yangu aliyesema wamekamatwa wakila ni wao au aliyewakamata? Dah kwani hata masikio mmeyaazima? Na Ile barua ya mzungu kula hadharani na yenyewe ilijiandika? Samahani ni neno dogo sana, ila linaleta heshima. Sio kila kitu kitafuata unataka nini. Vingine vitafuata wengine wanataka Nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.