Hakuna kitu kinaidhalilisha CDM kama kuutangazia umma kwa nguvu kubwa kuwa viongozi wake waliowaibua na kuwapatia udhamini wa chama ni wala rushwa. Bila ya kujijua mnautangazia umma kuwa chama chenu ni cha wala rushwa
Tokea serikali ya awamu ya tano kuingia madarakani tumeshuhudia mabadiliko makubwa katiki nyanja mbali mbali ikiwemo kuongezeka kwa uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma, kupigwa vita vya dhati kwa vitendo vya rushwa, ubadhirifu na ufujaji wa Mali za umma, kuanzishwa na kutekelezwa kwa...
Kuna tofauti kubwa kati ya kusoma Na kuelewa. Mtoa mada ametutahadhatisha juu ya makosa yaliyofanywa Na Ethiopia kuwekeza fedha nyingi ktk miundombinu ya kisasa pasipo kuwekeza kuwainua watu wake. Matokeo yake ni watu waliotegemewa kutumia miundombinu husika kukimbia nchi kwa sababu ya ukosefu...
Kwani bomoa bomoa haikuwasababishia madhara wahanga? Wapo waliopoteza maisha kwa mshtuko, familia zinalala nje na kuharibiwa kwa njia za kujitafutia riziki.
Mungu amekasirishwa Na Jamii ya kinafiki inayoshindwa kukemea uonevu ndio maana kashusha gharika (tingatinga kuu) ili liwe funzo kwa...
Hayo ndio mafanikio ya kiongozi kujikita katika kukuza Elimu had I kuitwa Mwalimu. Sasa tuko zama za bomoa bomoa ndio maana Na mungu anatuongezea ubomoaji was miundombinu
Kuna methali inasema "Jina humuua mwenyewe",
Tuliwahi kuwa Na kiongozi aliyeitwa "Mwalimu". Matokeo ya jina hilo in wananchi waume, wake na watoto kupatiwa Elimu bure kupitia program mbali mbali. Mamilioni ya watu wazma ambao hawakubahatika kusoma katika utoto wao walipatiwa Elimu nchi nzima...
Paskali hivi sasa watu wenye hati miliki zilizotolewa na kusajiliwa na Kamishna wa Ardhi pembezoni mwa reli wanabomolewa majengo yao. Baada ya taifa kuambiwa kuwa eneo LA hifadhi ya teli lilitengwa toka enzi za mkoloni.
Je Kamishna anaweza kutoa hati miliki kwenye hifadhi ya reli? Na kama...
Kwa mujibu wa sheria zetu za kodi TRA waliwapatia Acacia/Barrick Hati ya madai ya dola bilioni 190 sawa Na fedha za kitanzania Trilioni 425.
Sheria zetu za kodi zinaelekeza namna ya kumshughulikia mkwepa kodi. Ndio maghorofa ya Lugumi yako mnadani.
Tunachotakiwa kuhoji Na hatua gani...
Unakosea kumalaumu Zitto. Awamu hii ni ya kukusanya kodi. Kwa mujibu wa sheria TRA inaidai Acacia/Barrick kodi waliyokwepa Dola Bilioni 190 sawa Na Trilioni 425 xa kitanzania, ambazo zingeweza kumpatia kila mtanxania Gari ya aina Noah.
Kwakuwa kodi IPO Kwa mujibu wa sheria Na sheria haimpatii...
Kwakuwa TRA walibaini kuwa Acacia walikwepa kodi $Bilioni 190 sawa Na Trilioni 425 za Kitanzania naamini kuwa makubaliano yaliyofikiwa tarehe 19 Oct 2017 hayahusu Trilioni zetu 425 ambazo zitaweza kumpatia kila mtanzania Gari ya aina ya Noah.
Naamini hakuna kiongozi yeyote anaruhusiwa Na sheria...
Tukumbuke kuwakuwa serikali ya awamu ya 5 imeweka mkazo katika ukusanyaji kodi. Acacia walipatiwa Na TRA hati ya madai ya dola bilioni 190 sawa Trilioni 425 za kitanzania baada ya kubainika kukwepa Kodi kiasi ambacho kingeweza kumpatia kila mtanzania Mzee, kijana Na motto Gari aina ya Noah...
" Canon Laws" ambazo ibara zake hutajwa hivi, Can. 381 nakafhalika zinatosha kumwelewesha yeyote muundo wa Kanisa Katoliki. Zinataja mamlaka ya askofu, askofu-mkuu, kardinali, rais wa baraza la maaskofu na zaidi.
Sheria ya kanisa, Can. 381(1) na Can. 391(1), zinasema kwamba askofu jimboni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.