Search results

  1. stanluva

    Mafunzo ya Ualimu ngazi ya stashahada ya ualimu elimu ya awali, msingi na sekondari mwaka wa masomo 2020/2021

    Mfumo wa uombaji wa nafasi za mafunzo ya ualimu katika ngazi ya stashahada umefunguliwa. Kama una ndugu au jamaa mtaarifu ikiwa anavigezo vilivyoanishwa anaweza kutuma maombi. Ili kuweza kuona kozi na sifa zinazohitajika tafadhali soma maelekezo kwa kubonyeza hapa. === Katibu Mkuu Wizara ya...
  2. stanluva

    wapi naweza pata free to air MPEG 4 receiver?

    Wadau nna shida wapi naweza pata free to air MPEG 4 receiver na kwa kiasi gani? Itapendeza sana kama itakuwa Mikoa ya Dar au arusha au Kilimanjaro!
  3. stanluva

    Msaada please!

    Wadau naomba kuuliza wapi nitapata spika + power board ( + Ribbon) ya Laptop ya HP Pavilion dv6700 kwa hapa TZ? Akhsante!
  4. stanluva

    Msaada usb tv tuner plz...!

    Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!
  5. stanluva

    Sheria za Kazi inasemaje kuhusu Mfanyakazi katika Kuhama Kituo cha kazi.

    Wajuzi wa sheria naomba kusaidiwa hili! Hivi sheria inasemaje kuhusu uhamisho wa mfanyakazi kutoka Kituo kimoja hadi kingine hasa kama anafuata familia yake! Je kuna sehemu yeyote inayo mlazimisha mfanyakazi kutafuta wa kubadilishana naye kituo ndipo ahame? Maana wengine tunapoteza haki zetu ya...
  6. stanluva

    Wana JF Msaada kwenye tuta!

    Nitawezaje kuflash simu yangu aina ya Samsung SGH - D780, maana nna CD yake ndani kuna folder Flash asset! Pia nitatumia program gani kufungua files za type hii: X32
  7. stanluva

    Mgomo wa wafamyakazi umehishia wapi?

    Samahani wana JF naomba kuuliza ule mgomo wa wafanyakazi nchi nzima umeishia wapi? Kama nakumbuka vizuri baada ya mgomo ule wa kwanza kusitishwa, TUCTA walitoa siku nane za majadiliano (Kwa waziri mwenye dhamana na wafanyakazi kutangaza kima cha chini). Hivi kwani siku nane toka kipindi kile...
  8. stanluva

    Tujikumbushe Songea Boys {Box 2}

    Na kumbuka Mabweni ya Urafiki, umoja, maendeleo, ujamaa na muungano! Nakumbuka shida ya umeme iliyokuwa itokea na kulazimika kutumia chemli! Kama mtakumbuka Kuna kisima cha kupampu a.k.a Shadufu! Aisee kilitoa msaada wa kutosha katika kutupa maji ila ndo kuoga watu ilikuwa issue passport...
Back
Top Bottom