binafsi sijui kinachofanya muungwana kumuacha huyu mama katika baraza lake pamoja na upeo MDOGO MNO alionao..ukimsikia anavyoongea tu unajua hakuna kitu kichwani,na kumruhusu kufunua mdomo wake hadharani...ni aibu huyu!
hivi ni kweli huyu mama ni mke wa al-maaruf Kitwana Kondo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.