Ni kweli wako bize ombi langu ni kuwa hizi requirements can be used when they start. Pia nafikiri kwa kuwa kutengeneza apps kuna ugumu ( itachukua muda na heavy resources) kuna watu wanaoweza kutengeneza in their spare time. mimi ni mmoja wapo. Labda kama kuna ugumu wa kuruhisu watu wa nje...
Nashukuru kwa ushauri.
Taitumia nitakapoweza kununua online nasikia crdb na nbc wanasupport hizo transaction, tacheki nao
Ila specification itawasaidia waliokuwa wanatengeneza app ya Jamii forums for android labda kama wameachana nayo.
Wadau.
Nimekuwa nikitumia browser kusafu jamii forums kwenye simu yangu bila shida yoyote japokuwa kuna limitations mbalimbali lakini nafikiri kuwa inafanya vizuri. Sasa juzi si nikapata bahati kuinstall Jamii forums for android kwenye simu yangu. Kwa kweli ni mwanzo mzuri ila naomba nitoe...
I think if the motive was to be a hell of coder one could choose visual C++ in the first place. Many people chose visual basic 6.0 for simplicity and productivity, two spirit on which .net was built upon. So upglading is imperative. Using .net one can be a good programmer as well.
Wadau google imetoa os mpya ya android na iko ndani ya simu mpya ya samsung galaxy nexus. Japokuwa samsung wamesema wata update samsung galaxy s2 mwanzoni wa mwaka 2012 je kuna mtu ameweza kuupdate samsung galaxy s2 kwa kutumia un official versions?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.