Waombaji wa mikopo 324 inawezekana kukosa mikopo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo walioambiwa wapeleka nyaraka muhimu ambazo awakuambatanisha awali hawakufanya hivyo sababu nyingine ni ufinyu mdogo wa bajeti.
Source: KUTOKA JIKONI
kutoka jikoni ni kwamba majina ya wanafunzi walio apply vyuo vya uuguzi yangetakiwa kutoka leo lakini kutokana na tatizo la mtandao wameshindwa kuyaweka kwa hiyo majina hayo yatawekwa website ya wizara ya afya matengenezo yakishakamilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.