Yes, lakini huulizwi umetungwa mimba lini. Ila unaulizwa ulizaliwa lini. so umri wako katika hali ya kawaida unahesabiwa kuanzia siku ulipozaliwa. Hii inawezekana julikana mpaka dakika. Siku ya kutungwa mimba ni lini?
Pamoja na utetezi mzuri utakao utoa. Nadhani si vema kupendekeza 'bias' unapouliza swali kama hili. Unawafanya wachangiaji makini wasikupe maoni yao. Kama ungetaka kujua vigezo, kikiwemo cha udini, ungeuliza tu vigezo. Kisha wadau wakakupatia wanavyovifahamu. Ukikuta kama cha udini hakipo, hiyo...
"According to Zuma, all men need do if they go around fathering children with many women is accept paternity, pay damages, invoke children's rights, blame the media and claim their right to privacy. If that does not work, you can also say sorry before rushing off to deliver the State of the...
Yaani Feleshi anaweza akasema maneno hovyo hovyo hivi! Siamini.
Nadhani muda umefika ajiondokee tu. Sidhani kama ana nia na nguvu ya kushughulilia masuala ya rushwa kama haya.
Naomba mnielimishe. Kwa kawaida naona wataalamu wa fani hii wakiandika CPA (T) kuashiria kwamba ni ta Tanzania. je ya kwake ni ya wapi? Pili, Kwanini mtu mwenye ujuzi wa CPA aende kutafuta MBA ya shuo feki? Je, kuuliza haya ni wivu? Kama ndio, ni wivu kwa ajii ya qualifikations zake au ni wivu...
Ukitaka kujua uzuri wa ngoma ingia ucheze. sasa wewe hutaelewa kwakuwa huenda sio mwanaume. Ungekuwa mwanaume ungeelewa kwa urahisi na wala usingeuliza. Kuna mambo ambayo wanawake wanapenda pia kwa wanaume. Wanaume hata ukiwaelezea hawataelewa na kupata the same enjoyment ambayo wanamke anapata...
Mambo mengine sio ili mradi tu unataka kusema. Hili sio jambo jipya na wala sio la kuumiza kichwa. Kama inaonekana shida basi suala sio Sumaye kujinyima asiende medical chekup wingereza, suala ni kubadilisha incentives za viongozi. Wewe ungekuwa sumaye ungefanya nini?
Nadhani mkuu wangu utakuwa humtendei haki Michuzi. Hivi ungekuwa wewe umeenda safari, tena nchi za nje, usingependa kuwaona watanzania wenzako huko? Usingependa kupiga picha? Hivi unajua kwamba JK baada ya mikutano yake masaa ya jioni anafanya nini? Ukimkuta anacheza draft au golf utasema kaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.