Hakuna cha Hujuma wala nini. Alichokifanya Makamba kwenye hiyo wizara ilikuwa ni uhuni na upuuzi mkubwa.
Mwekezaji anakuja na masharti yake Wazir anakubali kila kitu..
Hongera kwa vyombo vya usalama kwa kumweleza Mama kila kitu juu ya mipango ya hovyo ya Januari na ndoto zake za mwenye nacho...
Nikupe ufafanuzi mdogo ndugu yangu kama utanielewa. Ni hivi Chama kinachotawala hasahasa kwenye nchi za mlengwa wa kati na kushoto kinakuwa ndiyo SHAREHOLDER wa nchi na serikali inakuwa Management ya nchi.
Kwa maana hiyo, hata siku moja haitatokea makamu wa rais akiwa anatekeleza majukum yake...
Mwaka 2015 JPM alipigiwa kura na Halmashauri kuu ya CCM pamoja na wagombea wengine watano akiwemo Membe, J. Makamba, Asha Rose Migiro, na Amina salum akashinda.
Baadaye akiwa na wagombea wengine watatu yaan JPM, ASHANA AMINA wakapigiwa kura na mkutano mkuu wa CCM Magufuli akashinda
Je Samia...
Unaona aibu kwa sababu sababu tukio kama hili limeandaliwa na mbunge Sengerema na kuwakarimu jamii ya eneo!
Hakika nikwambie matukio kama haya ni mengi mno tena tangue enzi na enzi na Pascal Mayalla umekula sana mema ya nchi kipindi cha Mkapa. Unazikumbuka zile safar zako Davos, London, Basel...
System ya nchi hii ndiyo iliyomfutia mbowe Kesi ya ugaidi!
Pamoja na mahakama kujilidhisha pasipo shaka kuwa mbowe alikuwa na kesi ya kujibu lakini SYSYEM ikamfutia kesi na akaenda ikulu moja kwa moja siku hiyo kutoa shukran. Na hilo ulikuwa hujui?
Uhalisia wa kuongeza mshahara huangalia mfumuko wa bei!
Wingi wa mifuko ya hifadhi ya jamii siyo kielelezo cha uchumi imara. Ni suala la maamuzi tu.
Kikokotoo kimeanza kufanya kazi mwaka huu mwez wa saba. Miaka miwili baada ya kifo cha shujaa.
Kikokotoo Magufuli alikikataa na akamuondoa kwenye...
Kama JPM angekuwapo US DOLLAR ingekuwa inapatika bila shida tena exchange rate isingekuwa inazidi 2,300. Watu wangeendelea kununua vitu nje bila kudunduliza Dollaar.
Taja kiasi alicholipiwa Dr. Slaa Hotelini na list ya jina la mlipaji. Tutajie pia majina ya walizi wa TISS NA namba za vitambulisho vyao. Huo ndo aina ya ushaidi unaotakiwa
Ndugu yangu jielimishe kujua aina mbalimbali za ushaidi unavyotakiwa uwe itakusaidia kujenga hoja
Kwa sababu viongozi wa chadema walimtuhumu lowasa kwa wizi.
Kwa mantiki hiyo chama kina watu wengi wazuri lakini kwa nini kiliamua kumchukua mgombea mwenye tuhuma na kuwaacha wanachama wengi wasafi na wanayoijua na kuipigania itikadi ya CDM?
Chama kikubwa kama CHADEMA hakiwezi kuchukua mtu aliyekataliwa na CCM waliomlea na kuwa mgombea wao wa kiti cha urais. Kibaya zaidi Viongozi zaidi ya watano wa kamati kuu ya CDM akiwemo M/kiti na katibu mkuu wakati huo walikuwa wamemtuhumu LOWASA kwa wizi na ufisadi waz wazi
Kipi kiliwafanya...
Kama unaamini wapinzani waliomkataa Lowasa walihongwa na CCM weka ushaidi wa wazi.
Kama unaamini bila ushahidi wa wazi Kwa nini unapata ugumu kuamini kuwa LOWASA aliwahongo CHADEMA ili wamkubali na wampitishe katika dakika za lala salama kuwa mgombea wa chama chao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.