Asante, ni hali ya kuwa na msongo wa mawazo, wasiwasi, hofu, kutopenda kujichanganya na watu, kuogopa, kuona kama dunia imekuelemea na hakuna sababu ya kuishi tena, Hzi ni baadhi ya dalili tu.
Hello JF doctors, naombeni msaada kwa anayejua hospitali nzuri DSM ninayoweza kupata daktari mzuri wa sonona! Msaada wenu ni wa muhimu sana kuinusuru afya yangu. Asanteni.
Asante kwa ushauri. Jamani kwa issue ya yeye kula haina shida maana hata mgeni yoyote anaekuja kwangu huwa najitahid walau apate chochote. lakin najiuliza kama mi ni mpenz wake bas awe tofauti kidogo na wagen wengine.
It's almost a year now. Makubaliano yalikua kuoana. Labda hapo kumwonesha kwangu ndo nilikosea. Kwa kipato we are the same. Tumeajiriwa taasisi sawa tofaut ni majina tu. Ngoja Ntajaribu kufanya ivo. Asante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.