Wapendwa wana JF, Nina shida nahitaji kupata msaada wa Jinsi ya Kulitatua.
Kuna Mtu Nilimkopesha pesa mwaka 2004 December na akaahidi kunilipa January 2005. Lakini Mpaka leo hajamaliza kunilipa hiyo pesa. Na mbaya zaidi mwaka jana 2008 October akaniandikia Cheque ili niweze kupata hiyo pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.