gorgeousmimi
Ni nini tiba ya tatizo la kinywa kutoa harufu? Mswaki unatumia kila baada ya chakula, lakini ndani ya muda mfupi kinywa hutoa harufu kali.
Wadau
Nahitaji kununua NOKIA LUMIA 520 au LUMIA 525
Kama wewe ni muuzaji unayo dukani, Nijulishe duka liko wapi ili nifike.
Au kama unafahamu ni wapi naweza kupata naomba unipe maelekezo ni wapi nitaipata.
Pia ni vyema kutaja na bei yake.
Mimi niko Dar es salaam.
*** Tcoal9****
Habari wana jukwaa.
Kuna mzigo inatakiwa usafirishwe toka china kuja Tanzania Kupitia Hongkong post.
Na mzigo pindi ufikapo tanzania inatakiwa uchukuliwe hapa "Tsim Sha Tsui Post Office"
Swali: Je hii ofisi "Tsim Sha Tsui Post Office" kwa Dar es Salaam iko mtaa gani.
Ahsanteni.
Na ndio sababu kama hii muuza nyanya wa kitaa hapa kwetu amekuwa maarufu kwa wake za watu.
Unabaki kujiuliza yle mama kila kitu anacho sijui kakaosa nini kwa mumwe mpaka aende kwa muuza nyanya.
Hapa wanamume yabidi tujifunze na kubadilika.
Mkuu najaribu kukutumia PM napa huu ujumbe
njunwa wamavoko has exceeded their stored private messages quota and cannot accept further messages until they clear some space.
Fanya kitu ili PM zetu zikufikie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.