Uchafu ni maudhui, matendo au mata inayopatikana mahali pasipotakiwa kwa wakati usiotakiwa.
Hatuwezi kutenganisha maendeleo na usafi au mpangilio wa kila kitu, kila siku katika mambo yote yanayotuzunguka.
Uchafu katika nchi yetu sio jambo geni kabisa maana uchafu upo kila mahala. Uchafu...
Wakuu salamu kwenu.
Kama umeamua kuwa mzazi kwa mipango au kwa bahati mbaya, basi kubaliana na hali hiyo.
Sasa juzi nikiwa safari Dar to Dodoma, kuna mzazi mmoja yuko na mwanae wa kiume mdogo miaka 6 hivi, wamekaa zile siti mbili yeye dirishani na mwanae hii siti ya kati. Wakati mm niko siti...
Habari zenu wana jamii forum. Matumaini mko poa.
Wale wazee wa ngumi tofali, wapenzi wa mitulinga mizito kuliko ya mwakinyo na myweather, ebu tutoe tathmini zetu kuhusu kurejea ulingoni kwa mzee wa kazi ya fasta fasta akiwa uwanjani, mwamba Mike Iron Tyson hapo baadae mwezi ujao akimvaa Roy...
Habari za weekend wakuu.
Katika maisha mambo ni moto kuna kupanda na kushuka. Kuna kipindi unaenda kwa wakala unashindwa kumwambia natoa buku au akuunge kifurushi maana hali ni ngumu. Na siku ukienda na kimeo kama hivyo watu kibaoo unahangaika tu kama mtu anayetaka kukopa kwa Mangi.
Kwako ni...
salamu zenu wakuu.
Kama ilivyo kila mmoja ametoka katika familia tofauti tofauti kimalezi. Malezi ya familia nyingine kwa kweli mtihani. Baba ni kama Simba mbugani yaani muda wake wa kurudi watoto na mke wote hawana amani, raha wala furaha.
Japo sijatoka katika hizo familia ila nimekaa na...
Wanajamvi, poleni sana na hali ya uhaba wa sukari maana hata ukiumwa hiyo corona mgonjwa wake uji, sasa uji bila sukari mgonjwa anaweza kufa kwa kweli.
Maisha yanakwenda kasi hatari kuliko kasi ya covid 19 wazeiya, ni vizuri kukumbushana mambo yaliyoteka uwanja tukiwa wadogo. Japo sijawahi...
Wakuu habari za maisha na mapambano ya maisha kwa ujumla? Poleni kwa Corona na uhaba wa sukari.
Msaada kwa yeyote mtaalamu wa kilimo hasa cha green house na hiki kilimo cha kisasa cha hydroponic.
Nina shida na liquid seaweed fertilizer concentrate, akitoa ushauri na matumizi yake na wapi...
Nawasalimu woote wana JF, poleni na udukuzi wa mtandao wa Vodacom.
Moja kwa moja kwenye mada, katika maisha ya shule wengi wetu tumewahi kusikia mwalimu anakwambia atakuandika kwenye BLACK BOOK kwa kosa ulilofanya.
Upande wangu mm niliponea ponea kuandikwa, ilikuwa hivi; nakumbuka nilikuwa...
Habari wana jamvi.
Ilikuwa miaka ile tukiwa wanafunzi, miezi michache tufanye necta form six. Kipindi hicho voda wana tangazo lao hilo mdada analalamika umenikanyaga( kama una kumbukumbu utajua mwaka). Basi mabweni yoote asubuhi ile tunajiandaa kwenda darasani mara huyu yuko na boxer, huyu uchi...
wakuu habari za wikiendi, hongeren na polen kwa harakati za maisha hapa na pale.
yeyote anayejua utaratibu wa kujisajiri, zawadi kwa washindi na lolote kuhusu kuhusu bagamoyo marathon.
naomba kuwasilisha.
Wakuu poleni kwa shughuli za kutafuta riziki, walioko nyumbani kwa ajili ya mapumziko ya mwisho wa wiki basi tuwalee pia watoto wetu vizuri kupunguza ma snitch siku za usoni.
Kuna hii tabia mbaya sana , hasa wakati wa safari, sijui ndo show au ujinga au ulimbukeni maana mtu ile mmepanda gari...
Wakuu mu hali gani huko mlipo ? Poleni wooote wa mabondeni kwa mvua, hongereni wakulima kwa mvua na wale wooote wanaotafuta uzao hakika hali ya hewa inapendeza. Basi turudi kunako jamvi letu. Kuzungumza lugha moja bila kuchanganya na nyingine inapendeza sana lakini kuna wakati inaleta mfadhaiko...
Wakuu,
Japo wapo baadhi ya watu ambao hawakuwa Marais wa Marekani lakini wamewekwa kwenye noti za Marekani.
Humu ndani wako wachambuzi wazuri sana wa historia, wanaoweza kutoa ufafanuzi ni mambo gani yanamfanya mtu kuwa na sifa ya kuwekwa kwenye noti.
Habari za mwanzo wa wiki wakuu, poleni na hongereni kwa weekend.
Nianze moja kwa moja. Kuna tabia zinamjenga mtu akawa mtu ambaye utapenda uwe karibu nae au kujipenda hata wewe mwenyewe. Tabia hizi ukianze kujifunza kuanzia leo na kuendelea utaona mabadiliko makubwa sana ktk maisha na hata...
Habari GT, unajua katika haya maisha kuna vijimaneno maneno vidogo vinaweza kukufanya upambane au uwe boya tu. Nitatoa mfano ili tutiririke na sisi,
Sio wewe tu....
Hii [emoji115] sentence kama ulikuwa umepigika huna pesa unakutana na mwana anakwambia sio wewe tu hana mimi sina.
2. Hata...
Habari wakuu, kwa yeyote anayejua shanga zinakotoka ebu afunguke maana nimekuwa najiuliza bila majibu
Najua mtu kama mshana Jr, mzizi mkavu na ma Great thinkers wengine watakuwa wanajua
Habari zenu wanajamvi ?
Natumaini mu wazima kabisa, so kama mada tajwa hapo juu ni kwamba vijana wengi wameipotezea katiba yetu kiasi cha kufanya maccm yaandae kwa matumbo yao kwa kupunguza na kuongeza yale yasiyokuwapo kwenye rasimu ya warrioba. Hivyo basi ni vizuri kama vijana wangejitokeza...
Kwa ninavyoamini mimi wengi huwa tunapenda sana kuadhimisha siku zetu za kuzaliwa lakini kwa viongozi wetu wa mambo ya kisiasa ni tofauti wao wanaadhimisha siku zao za kufa ambazo hata vifo vyao havijulikani sababu ni nini.
So ili kuondoa maswali na siku za kuzaliwa zipewe kipaumbele.
Wanajamvi leo naomba tuzitambue tafsida zinazofanya vizuri katika tasnia hii ya mawasiliano yetu hasa hasa hapa JF kwa wajanja, kama vile:-
Kugegeda
Umeliwa 0713
Punga.
Nisitaje zote ebu tutiririke wenzangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.