Amani kwa wote wana jf,nawatakia heri ya mwaka mpya 2015 wenye baraka tele na mafanikio.naomba mwaka 2015 tujikite kwenye mijadala ya maana na yenye tija kwa taifa kama vile njia za kumaliza ufisadi serikalini,kura ya maoni ya katiba pendekezwa na uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.kila la kheri wana jf.
Salaam,napenda kukipongeza chama cha wananchi (CUF)kwa kuchukua vijiji 37 kati ya 76 vya wilaya ya Liwale.Hongera wananchi wa Liwale kwa ushindi wenu.Hongera mh. Said Katundu na uongozi wote wa wa mkoa na wilaya wa CUF.
Amani kwetu sote,hivi ccm kupoteza viti vingi kwenye uchaguzi wa s/mtaa,vijiji na vitongoji ninini sababu iliyopeleka hali kuwa hivyo?naomba tuchambue sababu kwa umakini ukiona huna chakuchangia bora upite tu.nawasilisha.
hebu tupe ukweli wa matokeo yote nchi nzima maana nape alisema ni 84% hapo wewe umesema zaidi ya asilimia 70 nisaidie kujua ukweli maana mawio wamesema wapinzani wameshinda asilimia 38 wewe umepinga.
Heko dr wa ukweli,kwa kuguswa na kifo cha mtanzania mwenzako licha yakuwa naitikadi tofauti nae huo ndio uzalendo wa ukweli maana watanzania lazima tulindane wenyewe dhidi ya ukatili wa aina yoyote ile.mungu ilaze roho ya marehemu mahali pema peponi amina.each drop of humanblood is counted in...
Amani kwa wote,napenda kujua katika uchaguzi uliofanyika 14 dec 2014 nani aliye pata mafanikio kati ya ccm na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wananchi(ukawa) ni nani?
Salaam wana jamvi,leo nimeona tupashane kidogo kuhusu kinachoendelea kwenye mitaa yetu kuhusiana na uchaguzi wa wenyeviti wa seriikali za mitaa.kwa sasa mimi nipo mby kata ya ruanda mtaa wa soko ndugu baraka abel wa chadema anakubalika sana hapa.vp hapo ulipo wewe nichama gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.